WAIKORU
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,586
- 2,454
Mtu kama huyo lazima anamahusiano na CDM au CUF tu
Ficha upumbavu wako....usipende kuropoka hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kama huyo lazima anamahusiano na CDM au CUF tu
Mkuu, kizazi cha panya hicho.
Sio mnafiki amesema kilichopo moyoni mwake hata kama wengine hatukipendi.
DIVA HAJITAMBUI
Katika kipindi cha mkasi kilichoruka jana 21/12/2015 usiku Nilipigwa na mshangao wa kufa mtu pale muongoza kipindi Salama alipomuuliza Diva kama anaufahamu wimbo wa taifa akajibu kwa kifupi "siujui" salama hakuamini jibu hilo akamuanzishia wimbo huo ili kumsaidia hata kama alikuwa ameusahau akasema kwa msisitizo "kwanza huwa siupendi kabisa wimbo huo" kwanza nilijisikia ovyo na kuhisi kumchukia ghafla mtangazaji huyo wa clouds fm.
Mwanzoni nilipokuwa simjui Diva nilikuwaga nafikri ni binti moja mkaliiiii, binti matawi ya juu. Anavyojua kulegeza sauti yule utafikri wakati huo mtete umezama ndani kabisa! Ooouuuups, nilipomwona uso kwa uso nilipigwa na butwaa, dam sura kama mimi??? Mtoto wa kupigia gizani huyo!
Ana stress yule,watoto waliokulia katika familia ya single mother tena maisha magumu wanakua na shida sana ukubwani
Nakuunga mkono aisee hasa hapo kwenye single mother na akijiona kafanikiwa kubadilisha mboga ndio inakuwa tabu zaidi
Mleta mada nakukumbusha hapa tunajadili vitu muhimu kwa maslahi mapana ya taifa huwa hatupendi kujadili watu hasa ambao hawana madhara kwenye uchumi tafadhali usirudie tena kuleta hoja coco kama hii
Siasa, Uchumi na kila kitu kinaanza na utaifa fikili nje ya boxMleta mada nakukumbusha hapa tunajadili vitu muhimu kwa maslahi mapana ya taifa huwa hatupendi kujadili watu hasa ambao hawana madhara kwenye uchumi tafadhali usirudie tena kuleta hoja coco kama hii
Bila taifa hakuna siasa hebu fikili kama mtangazaji Ana mashabiki wengi tu hapa nchini wanajifunza nini kwake kumbuka alichofanya hakina tofauti na kulitusi taifa.Hata wewe hujitambui,unamleta Diva humu JF tena Jukwaa makini la Siasa?