Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Na laani mtindo huu watu wanao fahamika fahamika hapa bongo kubuni vitu ambavyo wakati mwingine ni vya kijinga kwa lengo la kujiongezea umaarufu.
Uvumi ya kwamba clouds fm imewatimua vijana maarufu kwa utangazaji yaani b-dozen, adam mchomvu pamoja na diva ni taarifa za uongo na za kupuuzwa kama zilivyo taarifa nyingine za kipuuzi.
Kwa watu ambao wamekuwa wafuatiliaji wa sekta hii ya burudani mtakubaliana namimi kuwa si mara ya kwanza kwa Mchomvu kuandikwa kwenye magazeti kuwa amefukuzwa Clouds wakati katika hali halisi alikuwepo Arusha sababu ya likizo ya kikazi.
Nani asiyejua kuwa huu ni mwezi dume kibiashara? nani asiyejua kuwa hao vijana wapo likizo ya kikazi? Ruge una ubavu wa kuondoa hayo majembe matatu kwa mara moja? Halafu mbadala wao ni kina nani? Perfect? Phillip Mwihava? hahahahaahaha
Clouds fm acheni kuchezea akili za watu, umaarufu hautengenezwi kwa skendo zisizo na maana, hao vijana hawajafukuzwa ila wapo likizo. Umma umedanganywa ili wananchi wawe na hamu yakuja kuwasikiliza pindi vijana hao watakapo rejea.
UPDATE...
Hatimate Adam Mchomvu na Dozen wanashaanza kutangaza Cloud fm, ile siku mi nimesema kwamba ule ulikuwa ni mchezo watu walitokwa sana na mapovu.... asahivi popote pale walipo najua sura zimewashuka
SLIM SHADE
Uvumi ya kwamba clouds fm imewatimua vijana maarufu kwa utangazaji yaani b-dozen, adam mchomvu pamoja na diva ni taarifa za uongo na za kupuuzwa kama zilivyo taarifa nyingine za kipuuzi.
Kwa watu ambao wamekuwa wafuatiliaji wa sekta hii ya burudani mtakubaliana namimi kuwa si mara ya kwanza kwa Mchomvu kuandikwa kwenye magazeti kuwa amefukuzwa Clouds wakati katika hali halisi alikuwepo Arusha sababu ya likizo ya kikazi.
Nani asiyejua kuwa huu ni mwezi dume kibiashara? nani asiyejua kuwa hao vijana wapo likizo ya kikazi? Ruge una ubavu wa kuondoa hayo majembe matatu kwa mara moja? Halafu mbadala wao ni kina nani? Perfect? Phillip Mwihava? hahahahaahaha
Clouds fm acheni kuchezea akili za watu, umaarufu hautengenezwi kwa skendo zisizo na maana, hao vijana hawajafukuzwa ila wapo likizo. Umma umedanganywa ili wananchi wawe na hamu yakuja kuwasikiliza pindi vijana hao watakapo rejea.
UPDATE...
Hatimate Adam Mchomvu na Dozen wanashaanza kutangaza Cloud fm, ile siku mi nimesema kwamba ule ulikuwa ni mchezo watu walitokwa sana na mapovu.... asahivi popote pale walipo najua sura zimewashuka
SLIM SHADE