Diva na Niffer waandika ujumbe wa kuomba radhi baada ya kukamatwa kwa kuchangisha michango maafa ya Kariakoo

Diva na Niffer waandika ujumbe wa kuomba radhi baada ya kukamatwa kwa kuchangisha michango maafa ya Kariakoo

Wanawake wanapenda kuonewa huruma hapo kanatafutwa kanamna followers wao wapige kelele kuwaombea msamaha.
 
Siqashangai hao, wakizaliwa mchango, kipa imara michango, wakianzaa shule michango, wakimaliza shule michango, harusi zao michango, vifo vyao michango, kanisani michango.


Waameiona fursa ya kujipigia za majanga mbio mbio.

AlhamduliLlahi, najivunia Uislam wangu.
 
Mahakama isiwafunge wala kuwapiga faini, badala yake itoe amri wakajiandikishe elimu ya watu wazima, Wakasome somo moja tu, la mwandiko
 
Diva Kwa huo umri wake anaonekana upstair hayupo vizuri .

Alibidi kuwa na exposure kubwa kuhusu maisha na sio kuwa MTU wa Ku force fame .


Kuhusu Niffer huyo nimetoka nae mtaa mmoja Bukoba naelewa maisha aliyoyapotia yeye pamoja na mama yake.


Diva either anakosa washauri wazuri au hajitambui .

Huyo mwezie ni hunter wa kihaya namjua way back .
 
Yani tunajadili miandiko tena, haha...mbona tuko watu tuna miandiko hiyo ya hapo kwenye barua hizo ni mizuri tena sana, wengine hata Kwa herufi kubwa tu Bado haivutii, utauelewa mwandiko kwenye namba tu na ndio maana tukashtuka mapema, lugha zetu zikawa ni namba na si maandishi...
 
Yani tunajadili miandiko tena, haha...mbona tuko watu tuna miandiko hiyo ya hapo kwenye barua hizo ni mizuri tena sana, wengine hata Kwa herufi kubwa tu Bado haivutii, utauelewa mwandiko kwenye namba tu na ndio maana tukashtuka mapema, lugha zetu zikawa ni namba na si maandishi...
we acha tu cha ajabu ndo yanayotanua na Range mjini
 
nyerere aliwahi kwenda zambia rais akastukia yuko ofisini kwake akamwambia nimekuja kumchukua rafiki yangu kaunda, kwa kitete akaagiza apelekwe gerezani kumwona kaunda akamkuta amedhoofu sana kwani aligoma kula. akamwamuru ale na apewe maji ya kunywa alivyoshiba akamwambia twende, wakaondoka nae hadi ikulu kufika akamwambia rais naondoka nae, ndio kaunda aka opt kwenda kwa mwanae canada. mjini kuna wazee wana nguvu. usiombe. ukiona tumbili mjini anamwenyewe.
Acha uongo.
 
Hapo hapo mmiliki wa hilo gorofa yupo uraiani.
Ndo maana nasema serikali ya kipumbavu.
 
Mtangazaji wa Wasafi Fm, Diva Malinzi na Mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer wameandika barua za kuomba radhi (Kusamehewa) baada ya kupatikana na tuhuma za kuchangisha michango kwa ajili ya Wahanga wa janga la Kariakoo bila kufuata utaratibu.
Pia, Soma:

Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo

Baada ya kutenda makosa hayo Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) walikamatwa na jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano na wameendelea kubaki mahabusu wakisubiria kupatiwa dhamana.
Hivyo kutokana na kutambua makosa yao wote wawili kwa pamoja, wameandika jumbe za kuomba radhi na kuomba kusamehewa kwasababu walifanya hayo kwa kutokufahamu utaratibu, huku wakiahidi kutorudia tena na Kuwa Mabalozi wazuri kwenye Jamii.
Tofauti ya sisi na wao.

Sisi: ukiingia lockup hutakiwi hata kuomba maji

Wao: wakiwa lockup, hata wifi wanatumia
 
Back
Top Bottom