Mastaa wa kibongo bhana hawana pesa lakini loh!! Km huyu anajifanya J lo wa bongo! J lo anaolewa anazaa anaacha anaolewa kwingine anazaa tena sasa wewe hata kuzaa hutaki kwani unajuwa ukizaa tu mpauko mbaya kabisa nenda na umri mama
Kuwaita mastaa, kunawapa sifa sana ndio maana kila siku wanakuja na vibonzo vipya
Hao ni MALAYA wa bongo na sio MASTAA wa bongo, kila siku wanafikiria bwana mpya
Mwaka una siku 365 ukitoa weekend siku 104 kwa hesabu ya haraka ambapo vipindi vyake vinakuwa hewani na anakaribisha wageni 2 au 3 kwa wiki inamaana anauwezo wa kupata wanaume wapuuzi 104 hivi kwa upuuzi wake kweli dunia gunia