Basi kama kampata atakuwa ni Bilionea Asigwa
Mtangazaji wa kituo cha Redio cha Clouds FM, DIVA ameweka wazi kuwa kwa sasa hayupo single tayari ameshapata Boyfriend mpya baada ya kumwagana na mwanamuziki Heri Muziki.
Diva amesema kuwa mwanaume huyo tayari ameshakubali kulipia mahari ya shilingi milioni 500 ingawaje kwa sasa amekataa kumuweka wazi kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa upande mwingine Diva amesema kuwa kwa sasa anapata tabu kweli kutoka kwa mwanaume kitu ambacho kinamfanya abadilishe laini mara saba kwa mwezi.
na wewe mtu mkubwa na akili yako unamsifia mtu lugha 'english' kipi ulichokiona kuwa anafaa kutangaza CNN ama FOX NEWS, je wewe huwa unaangalia na kusikiliza hivyo vituo kwa makini???? naona unaleta mambo ya bongo movie hapa! huwa unawasikiliza vizuri hao watangazaji kiasi kwamba unamlinganisha huyo malaya na hao!!! na wasi wasi na vitu vya msingi unavyovijua!!! ndo nyie mtakaokuwa mnaenda ilala kuomba kazi kwa Hapi....!!! hufaulu hata swali moja!!! too bogus kumlinganisha huyo malaya na watangazaji wa CNN!!!Kwa kweli nimefurahia hiyo English yake ,hii Ni mara ya pili kusikia jina Diva mara ya Kwanza niliona anataka mahari ya million 500 ndio nakaanza kumfuatilia Leo ndio nimeona Kwa you tube ,Kwa kweli Yuko vizuri angefaa Kuwa mtangazaji wa CNN OR FOX NEWS Au CBS ya USA ,ENGLISH YAKE SIO YA KUBORONGA ,
Si bora kufukia ardhiniHehehehehe
Mashine yenyewe breki pumbu halaf niambiwe mahari nusu bilioni
Badala ya kuendekeza huu upuuzi aende gerezani keko akamuone baba yake mzazi Jamal Malinzi ananyea debe.Mtangazaji wa kituo cha Redio cha Clouds FM, DIVA ameweka wazi kuwa kwa sasa hayupo single tayari ameshapata Boyfriend mpya baada ya kumwagana na mwanamuziki Heri Muziki.
Diva amesema kuwa mwanaume huyo tayari ameshakubali kulipia mahari ya shilingi milioni 500 ingawaje kwa sasa amekataa kumuweka wazi kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa upande mwingine Diva amesema kuwa kwa sasa anapata tabu kweli kutoka kwa mwanaume kitu ambacho kinamfanya abadilishe laini mara saba kwa mwezi.
Hiv tutajuaeje kama kwel kalipa hzo 500m? Kama katolewa mahari kama wengne laki sita ?Mtangazaji wa kituo cha Redio cha Clouds FM, DIVA ameweka wazi kuwa kwa sasa hayupo single tayari ameshapata Boyfriend mpya baada ya kumwagana na mwanamuziki Heri Muziki.
Diva amesema kuwa mwanaume huyo tayari ameshakubali kulipia mahari ya shilingi milioni 500 ingawaje kwa sasa amekataa kumuweka wazi kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa upande mwingine Diva amesema kuwa kwa sasa anapata tabu kweli kutoka kwa mwanaume kitu ambacho kinamfanya abadilishe laini mara saba kwa mwezi.