ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
Mastaa wa bongo kwa kuzidisha sifuri hawajambo.. Mahari ya milioni 5 utasikia milioni 500...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milion 5 yote hiyo,toa tena sifuri mojaMastaa wa bongo kwa kuzidisha sifuri hawajambo.. Mahari ya milioni 5 utasikia milioni 500...
Hapo chachahivi angekuwa msichana ingekuwaje ?
Na kizinduliwe na mkuu wa malaikaDiva anazaidi ya 30 years asitokee muntu akabisha hili hilo moja, pili sio bikira hizo million 500 kwanini wasijenge kiwanda cha condom alaah
ni kweli kk kumbe ni k*** a tyuu kumbe kusoma sana sio kujua eeh ( English Course pia zipo)Huyu dada ukisikiliza kipindi chake utajua ni mtu wa maana kumbe hana maana kabisa
😀😀😀😀😀,daah JF never boring.Hehehehehe
Mashine yenyewe breki pumbu halaf niambiwe mahari nusu bilioni