Diva: Nimeshampata boyfriend mpya mwenye uwezo wa kulipa milioni 500

Itakua mia 500 na km 500 ml iyo papuchi ina dhahabu
 

Hivi huyu dada huwa anapitapita jf kweli,naomba anaefahamiana nae amfikishie ujumbe wake kutoka kwa bro Mshana Jr na ajaribu kumweleza afanyie kazi hicho kipengele cha kwanza nilichoweka red
 
Milion mia 500 anakojoa cocacola au kyuma yake ni ya dhahabu?...
 
Matakoless faken huyu, sura chafuuu na lugha chafuuu nani amuoe jinga hili.. Wanaume wajanja sana anaweza kwambia atakulipia mahari bilioni moja alafu anakupiga tigo kila siku bure anasepa anakuacha sbb anajua huyo ni pumbaf kwa kila kitu
 
Sh milioni 500 si mahari, hiyo ni bei ya kununua mtumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…