Diva: Siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume asiyejua kuongea kingereza

Anakatika kitandani...au ana bwabwaja tu....kingerexa ndo kinakata mauno....
 
Eti Zitto nae amewahi kudate hiki kituko.. Teh teh
 

Kama amezidi miaka 30 mwambie ahache mbwembwe maana hana chake tena hapo, maana watoto wabichiiii wanakuja kwa kas na mwanamke anavyo zidi kuongeza umri na thaman yake inapotea kama akupata mapenz ya kweli ili alipata mapenzi ya lugha mwisho wa siku ajikute anajiboza mwenyewe kwa kibur chake na kuwa shahid wa ndoa za marafik zake
 
Hahahahahahahah huyu nae anaweza kutamba kwa wenzie na kuwambia "Mimi ni binadamu si mwenzenu tena " eti kwa vile amevaa nguo vinazovaliwa na binadamu lakini amesahau kuwa mavazi tu hayawezi kumpa sifa ya kuwa binadamu japo kuna wanadamu wanajiita Simba lakini pamoja na kuitwa Simba jina aliwezi kumfanya kuwa Simba au kuwa na tabia za Simba
 
Akafanye Kazi BBC basi fyuuuu[emoji11] [emoji9] [emoji10]
 
BBC siyo?
BBC world service upande was Radio ili wakuchukue, sio tu kiingereza hata content matters.
Allan Kasuja,Steven Sucker etc. Hawaongei hiki cha you are so sweet,I am delighted,sapraiiiizi. In terms za uchumi,siasa. Na hata vipindi vyao vilivyo social kama OUTLOOK wanazungumza kwa namna ya kipekee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…