Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

Diva the Bawse akanusha kuwa na mimba, akanusha kuwahi kuwa na uhusiano na Michael Lukindo!

Atampeleka polisi ili iweje sasa!!!

Usingo mbaya sana kwani husababisha ugonjwa uitwao kichaa cha nyege
hahaaa...ila ile radio ya kimaku sana aiseee..mtu anaporomosha matuzi mazito vile halafu wanairusha interview hewani kweli"" ijapo kuwa walikuwa wanayakata kata"" lakini ylikuwa yanaeleweka kabisaa"""bila shaka TCRA itakuwa ni ya Mjomba wao""
 
hhahahah hiii ni habari ya kweli anayo mimba na hataki watu wajue kama ana mahusiano na Michael Lukindo na kama wameachana au mimba imeporomoka nitafatilia niwajuze
yule demu ni fekerooo sana aisee..kamtukana Jamaa kiasi kile tena on air"" khaaa..na uongozi wa CMG umeruhusu kabisa ile clip kurushwa hewani""
wale Jamaa itakuwa ni mapunga sio bure ...naanza kuamini sasa"""
 
hahaaa...ila ile radio ya kimaku sana aiseee..mtu anaporomosha matuzi mazito vile halafu wanairusha interview hewani kweli"" ijapo kuwa walikuwa wanayakata kata"" lakini ylikuwa yanaeleweka kabisaa"""bila shaka TCRA itakuwa ni ya Mjomba wao""
Silisikilizi siku hizi
 
mkuu kuzushiwa kubaya ndio maana amekasirika sana, naunga mkono the bawse lady kukasirika vile na hata akchukua hatua moja mbele ya kumsweka mtu kwa afande sirro!
Hawakubaligi Hawa, Ukute Tayari Alishaliwa, Nina Mifano Hai
 
yule demu ni fekerooo sana aisee..kamtukana Jamaa kiasi kile tena on air"" khaaa..na uongozi wa CMG umeruhusu kabisa ile clip kurushwa hewani""
wale Jamaa itakuwa ni mapunga sio bure ...naanza kuamini sasa"""
Nahis alimtukana off air, sudy akarekod, sudy ndio ana makosa kurusha yale matusi.
 
Nahis alimtukana off air, sudy akarekod, sudy ndio ana makosa kurusha yale matusi.
ndio huyo naye mshangaa"" but kabla ya kipindi kwenda hewani sihuwa kinapitiwa na uongozi"" ?? so uongozi wa CMG uliona sawa kabisa kuruhusu ule ujinga mixer uchizi kuruka kwa hewa
 
hahaaa...ila ile radio ya kimaku sana aiseee..mtu anaporomosha matuzi mazito vile halafu wanairusha interview hewani kweli"" ijapo kuwa walikuwa wanayakata kata"" lakini ylikuwa yanaeleweka kabisaa"""bila shaka TCRA itakuwa ni ya Mjomba wao""
Kwa hiyo Mh John mpenzi wa kipindi hicho amesikiliza kila kitu? Aiseee
 
Kwa hiyo Mh John mpenzi wa kipindi hicho amesikiliza kila kitu? Aiseee
hahaaa sasa hivi mood hiyo hana "" CAG anampasua kichwa "" nasikia anashinda bafuni tu "" siumeona week yote hii imeisha ameshindwa kufungua hata kiwanda cha kuchoma mishikaki
 
hahaaa sasa hivi mood hiyo hana "" CAG anampasua kichwa "" nasikia anashinda bafuni tu "" siumeona week yote hii imeisha ameshindwa kufungua hata kiwanda cha kuchoma mishikaki
Haya makombora yanayoelekezwa kwa bwana stone sio ya mchezo kabisa
 
Haya makombora yanayoelekezwa kwa bwana stone sio ya mchezo kabisa
hapo keshafikiria mbinu zote za ujasusi "" anatamani ambanike "" lakini sasa anajiuliza pakuanzia"" ngoja aagize sumu kutoka russia
 
Watanzania wengi uwezo wa kujiongeza ni mdogo!huyo dogo Lukindo ameanza kuimba na ametoa single so kama kawaida wanamuziki wa bongo lazima watengeneze scandal ndio wajulikane na nadhani wamefanikiwa
 
Back
Top Bottom