Diva the Bawse asimamishwa kazi Clouds Media

Diva the Bawse asimamishwa kazi Clouds Media

Kama uliposoma tetesi hii ulianza kusikia raha kwanza kisha ukasikitika, nataka nikwambie hiyo raha uliyosikia ni makazi ya shetani, na kitendo cha raha kutangulia ni kiashiria cha kumtanguliza mbele shetani katika maisha yako, trust me, huendi mbinguni. Mtangulize Mungu, siku zote utawahurumia watu hata kama ni maadui zako.
sawa Diva nenda wasafi FM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za ivi punde ni kuwa mdada mwenye sura zaidi ya 100

leo wa blue kesho wa njano keshokutwa darkwhite amefukuzwa kazi cloud's kutokana na utovu wa nidhamu

Nawapongeza clouds kwa kumtimua uyu mdada kutokana na dharau zake zilizovuka mikapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bichwa langu linaweza kusoma maandishi yako ya kupongeza mwenzio kuzibiwa riziki yake pale kwenye kampuni ya habari ya mawingu.

Maandishi kama hayo hapo juu.
Chuki inaonekana kwenye pongezi zako, kwenye kumuelezea muonekano wa sura yake n.k.
Chuki ya kiwango hiki unaweza kuja kuwa mchawi ukizeeka. Kwani rangi ya uso wake ilikuwa inakuzibia riziki?
Akifukuzwa kazi wewe ndiyo utapewa mshahara wake?

Huwa sipendi kuongea namna hii lakini kwa chuki zako dhidi ya huyu mdada nimeona sitaingia peponi bila kukuchana 'live'.
 
Mkuu bichwa langu linaweza kusoma maandishi yako ya kupongeza mwenzio kuzibiwa riziki yake pale kwenye kampuni ya habari ya mawingu.

Maandishi kama hayo hapo juu.

Chuki inaonekana kwenye pongezi zako, kwenye kumuelezea muonekano wa sura yake n.k.

Chuki ya kiwango hiki unaweza kuja kuwa mchawi ukizeeka. Kwani rangi ya uso wake ilikuwa inakuzibia riziki?
Akifukuzwa kazi wewe ndiyo utapewa mshahara wake?

Huwa sipendi kuongea namna hii lakini kwa chuki zako dhidi ya huyu mdada nimeona sitaingia peponi bila kukuchana 'live'.
Nenda kamtetee basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom