tutachoma ubani mashtaka asirudiSema nn CMG watamrudisha baada ya muda, dizain wamemsimamisha kwa muda. Nakumbuka kina Adam mchomvu, Alex lwambano waliwahi simamishwa...ila baada ya muda waliwarudishwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sasa mahali itakuwa ni Mbuzi wawili
yupo quarantine asaiviNipo nasikiliza clouds fm hapa ni mwendo wa love songs tu, sitaki kuamini mmarekani wetu wa milioni 500 hataongea Leo [emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
A Bawse is a human being who exudes confidence, turns heads, reaches goals, finds inner strength, gets hurt efficiently and smiles genuinely- because they've fought through it all and made it out the other side.Hivi Bawse ndo kitu gani?
itakuwa bakuliHivi Bawse ndo kitu gani?
Wasafi Fm wanamuhitaji
Wacha michezo na mbuzi ww!Kwa sasa mahali itakuwa ni Mbuzi wawili
I also wonder.Kuna mijitu ni mijinga.Inafurahia anguko lake.Je unafaidika na nini ukiona mwenzio anapoteza kazi tena kipindi kigum kama hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀 😀 😀itakuwa bakuli
Nimekuelewa sana ndugu yanguKama uliposoma tetesi hii ulianza kusikia raha kwanza kisha ukasikitika, nataka nikwambie hiyo raha uliyosikia ni makazi ya shetani, na kitendo cha raha kutangulia ni kiashiria cha kumtanguliza mbele shetani katika maisha yako, trust me, huendi mbinguni. Mtangulize Mungu, siku zote utawahurumia watu hata kama ni maadui zako.
Amplifier inamfaa tu milad Ila alipowekaMina katoka amplifaya juzi kaingia XXL
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
😂😂😂 Kwahyo hizo text bwana mkubwa kamwaga ugali