Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Hii umeitoa wapi? Isijekuwa ni za kupika...
Hiyo ya kupika group gani watajiana majinaHii umeitoa wapi? Isijekuwa ni za kupika...
Hata mimi naona hivyo, wanataka kumnasua mfalme herode.Hiyo ya kupika group gani watajiana majina
mahari ya milioni 500 ..kumbe ndio huyo alisema ..kabinti kanachekesha sana..Nipo nasikiliza clouds fm hapa ni mwendo wa love songs tu, sitaki kuamini mmarekani wetu wa milioni 500 hataongea Leo [emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizo mbwembwe tu, ukiwa na kuku kishingo watatu tu biashara imeisha.mahari ya milioni 500 ..kumbe ndio huyo alisema ..kabinti kanachekesha sana..
ajioe
Sent using Jamii Forums mobile app
Diva angeandika ile English yake asilimia 100 zimetengenezwa kumsafisha mfalme Helode
sio Diva uyo mfalme Helode ametuma watu wakamsafishe 😜Diva angeandika kiswa-kinge apoHii umeitoa wapi? Isijekuwa ni za kupika...
Kama kawa[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahyo hizo text bwana mkubwa kamwaga ugali
lakini sura kama mzee onyango wa bongo muviIla anasauti tamu Sana yule Bibi
Yes, wewe hujafurahia? anavyoongeaga matusi na kutaja viungo vya uzazi hadharani una furahi?Ni wazi umefurahia Diva kufukuzwa kazi ni kama mshahara wake utapata wewe.
kufukuzwa kwake kunakuwa kumeniinuahivi mtu unafurahiaje mwenzako kufukuzwa kazi?
Habari za hivi punde ni kuwa mwanadada Diva ( DivaDaily ) amesimamishwa kazi Clouds Media kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni “utovu wa nidhamu”
More info to follow
😀😀😀Ugomvi wa wanawake faida yake utaona chupi tu.