Naomba nitengue kauli mkuu 👐👐Wacha michezo na mbuzi ww!
Yule jamaa kaiga sauti yangu af ujue.nina sauti kama ileeee...
Ahahahahahahah
Enheeeh!!haya sema kingine teana🤣🤣🤣🤣🤣! Hhhaaha...basi umebarikiwa mkuu
Hapana! Sina kabisa mkuu!salimia wife!Enheeeh!!haya sema kingine teana
Sauti SI SuraIla anasauti tamu Sana yule Bibi
Maskini diva anatia huruma huko insta, asije akajinyonga tu [emoji30][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijitamba jana Instagram kuwa ametembea na mume wa mtu.Nimesoma baadhi ya comment hadi sasa sijajua sababu zakuwa fired
Shukrani
Habari za hivi punde ni kuwa mwanadada Diva ( DivaDaily ) amesimamishwa kazi Clouds Media kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni “utovu wa nidhamu”
View attachment 1420712
Nenda instaAnasemaje kwani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Habari za ivi punde ni kuwa mdada mwenye sura zaidi ya 100
leo wa blue kesho wa njano keshokutwa darkwhite amefukuzwa kazi cloud's kutokana na utovu wa nidhamu
Nawapongeza clouds kwa kumtimua uyu mdada kutokana na dharau zake zilizovuka mikapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaa.
Sasa bei itashuka
500M -> kondoo na kuku wa kishingo.
Ni utovu wa nidhamuShukrani
Kwaiyo ndio sababu ya kufukuzwa mkuu? Na mke wa jamaa alienda mawinguni kulalamika au?
Lakini si muhaya! Bila kujipandisha chati atapandishwa na nani baba take jamali malinzi mzee Wa tifiua tifua zaman