Diva the Bawse asimamishwa kazi Clouds Media

Diva the Bawse asimamishwa kazi Clouds Media

Habari za hivi punde ni kuwa mwanadada Diva ( DivaDaily ) amesimamishwa kazi Clouds Media kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni “utovu wa nidhamu”

View attachment 1420094

==============​

View attachment 1420712
Kweli kazi ipo.. yani mwandishi wa habari anaandika taka taka hivi.
Sijaelewa kitu.
Kasomea wapi huyu?
Kama ‘ib’ nini maana yake? Ibilisi au. Daaaah.
Kweli kazi ipo
 
Maisha ni safari ndefu sana kati yetu hakuna ajuaye kesho

Tunapaswa kuishi kwa kuheshimiana na kuthaminiana siku zote na nyakati zote na kufurahia matatizo ya wenzetu...maisha ni mzunguko unaweza siku umesimama alipotoka yeye...

THINK BIG
 
Habari za hivi punde ni kuwa mwanadada Diva ( DivaDaily ) amesimamishwa kazi Clouds Media kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni “utovu wa nidhamu”

View attachment 1420094

==============​

View attachment 1420712
Mwehu too yule hana akili kibongo bong inabd tujanjaruke mtu unawezaj kusuluhisha mapenz Ya wat kat yako mwnyw yanakushind?.. then kingne anachoniboa et linataka 500M F**ck mind kuna kuzi gan ataend kutupa ela zake kwa yule ajuza?..Akiwa kipind linakasifia kale kaking ka Kariakoo tu Akiwa nje ya Mawingu Fm hana jambo Kwa leo ngoja ninywe maji am back
 
Lakini si muhaya! Bila kujipandisha chati atapandishwa na nani baba take jamali malinzi mzee Wa tifiua tifua zaman
Jamal ni baba mlezi ambaye amemuoa mama yake mdogo Diva. By the way Diva na yule mwanamuziki wa kike aliefukuzwa NEC ya chama chetu ni ndugu kabisaaa. Hana damu ya kihaya labda kisambaa/ bondei.

The good, the bad and the ugly.
 
Back
Top Bottom