Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Anamaanisha kwa lugha ya kwao muandishi sio ya Diva.Mtoto wa Malinzi kawa muuru tena?
Muandishi ni mchagga wa Huru sio Diva.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamaanisha kwa lugha ya kwao muandishi sio ya Diva.Mtoto wa Malinzi kawa muuru tena?
Ni mzuri,miaka ya nyuma kidogo nilianza fukuzia akawa teyari yuko na kijana mmoja mweupe shombe wa bongofleva nikafanya kupotezea.
Sijui iliishiaga wapi ile michango...sijui alipata?na mchango alikuwa anataka aende akapandizikizwe mbegu sijui?
pia si kaolewa eti?
ngoja nikamuoeSijui iliishiaga wapi ile michango...sijui alipata?
Sijawahi kusikia kaolewa
Naonaga anapenda kuvaa kope za bandia machoniAnakaribia 40
Mimi mwenye 26 ananifaa. Ngoja nianze kumpigia misele.Atakuwa kwenye 35
Kumbe H2O ukipiga ile soko la kate what?Uhuhuuu
[emoji23][emoji23][emoji23] iwe bojoo
Umejuaje kama hii inaniusu mimiUhuhuuu
😂😂😂 iwe bojoo
picha zilikuwa zina mbeba tu
mwambie anawe make up..af urudie kauli yakoKumbe mzuri
Pingu na Deso ni vijana wawili inamaana wote wamemtelezeshea nyoka huyo binti?1.Pingu na Deso.
2.CRazy GK
3.Msanii wake.
4.Mbunge Fulani
Ingekuwa Vipi Diva angekuwa mchepuk0 wa MENGI DAAAAAAAAAHH Tungeona Mengi.
Yule dada huwa haishi uhalisia...ni kama ulivyoandika anapenda kuishi kimovie movie
Halafu ana utoto utoto mwingi wakati ni mkubwa
Mara ya mwisho nilisikia anatafuta njia za kupata mtoto
Bora umuone hvyohvyo kwenye picha na ma filter ya kutosha. Siku ukikutana naye live unaweza kukimbia. Sura kama ile mikate ya kipindi cha YesuKumbe mzuri
Naam wanaume waoaji nao si wajinga. Machale yakiwacheza wanapiga mzigo halafu wanatambaa. Kitu kingine nimegundua wanaume wengi hatupendi mke ambaye yuko hadharani sana kama huyo mrembo. Kuna rafiki yangu mmoja humu huwa tunachat sana mambo ya siasa nikamshawishi agombee Ubunge akaniambia mumewe alishamuonya ukiutaka ubunge tu basi ndiyo itakuwa talaka yako. Bidada ndoa anaipenda zaidi kuliko Ubunge.
Hapana M1 wao ndio Kateleza na Kheri Music Msanii wake.Pingu na Deso ni vijana wawili inamaana wote wamemtelezeshea nyoka huyo binti?
Yule dada huwa haishi uhalisia...ni kama ulivyoandika anapenda kuishi kimovie movie
Halafu ana utoto utoto mwingi wakati ni mkubwa
Mara ya mwisho nilisikia anatafuta njia za kupata mtoto
Fact..ukijua umri wake utanitag hapa..Diva toka mwaka 2004 kipindi hicho nipo form5 nikawa namsikia akiwa anatangaza halafu bado anadai kuwa yeye ana miaka 29 jamani jamani
Its means alianza utangazaji ajira ya kipindi cha wakubwa akiwa under age
Bado anajifanya mtoto wakati ana miaka 35 hata Muda wake wa kizazi unakaribia kuisha