Diva the boss wa Clouds, mahusiano yamemtesa sana

Bora umuone hvyohvyo kwenye picha na ma filter ya kutosha. Siku ukikutana naye live unaweza kukimbia. Sura kama ile mikate ya kipindi cha Yesu
[emoji16] [emoji16] [emoji16]

Smart guy
 
Hivi Diva ana miaka mingapi..maana toka mwaka 2004 namsikia clouds akiwa mtangazaji..nashangaa eti mwaka huu ndio katikiza miaka 30...Wabongo kwa kukataa umri wao hawajambo
Clouds alianza around 2007/8
 
Atafute tu mtoa mbegu na awe tayari kwa lolote lile ikiwemo jamaa kusepa kimoja kukimbia masharti yake.

Huwa anajiona sio wa nchi hii kabisa...namuombea wish yake ya kupata mtoto itimie mana kuhusu ndoa sidhani kama ataweza manake ana masharti mengi sana
 
Yule dada huwa haishi uhalisia...ni kama ulivyoandika anapenda kuishi kimovie movie
Halafu ana utoto utoto mwingi wakati ni mkubwa
Mara ya mwisho nilisikia anatafuta njia za kupata mtoto
Alikua anatafuta Sperms za Neymar
 
Ni Boss wa nini huyu?..
 
Yule chalii muhuni sana .
I mean Heri Music, ukimuona kama mrembo fulani hivi ila muhuni kisenge hadi kaya anakula.
By the time yuko versity Diva alikuwa anakuja sana Ud hall 5 na ndinga yake kumchukua mshikaji.
Alikuwa anaosha kisenge mchizi.
Nilimkubali sana huyo mwana!
Diva alikua anamlipia ada kijamaa kikawa kinapombeka ile mbaya mpaka home kinarudi asubuhi na mzigo kinakula😂😂😂😂
Diva alikomeshwa aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…