Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Itakuwa kapata jamaa wa kumuoa mwenye billion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DJ khaled sio kuwadi wa wasaniiDiva ana projects zake binafsi na wasanii. Ni kama vile DJ Khaled.
Hivi wasafi ambao hata coverage yao ni ya kuvizia wana matangazo gani kiasi cha kuitetemesha Clouds? Suala hapa ni mbinyo wa kiuchumi kwa kila sekta ambao umeleta shida kubwa hasa kwa sskta ya habari na utangazaji . Unaweza kuona hata kampuni za magazeti zinasota mfano Mwananchi na ukiongezea Nguvu ya mitandao.Mimi naona sababu media zimeongezeka.. huku wateja wanazidi kupungua ... soko limekuwa gumu , faida ndogo . Inabidi posho na marupu rupu ya wafanyakazi zipungue na mwisho wa siku majungu yanaanza kazini..
Wasafi imechukua sana wateja wa matangazo wa media kubwa za zamani... na ujio wa mitandao kama insta na youtube zimesababisha makampuni kufanyia matangazo huko mitandaoni badala ya media kama zamani
Huyo anaweza akawa HR wa Clouds maana naona "anajua" kila kitu.Wewe Ni Nani hapo clouds?
Wasafi hawana hata robo ya matangazo yaliyopo Clouds bro..Clouds wana corporate ads mpaka kero..tuseme wameshusha bei labda,ila matangazo yapo yakutosha sana,jana nilikuwa nasikiliza Power Breakfast karibu 75% ya kipindi ilikuwa commercial advertMimi naona sababu media zimeongezeka.. huku wateja wanazidi kupungua ... soko limekuwa gumu , faida ndogo . Inabidi posho na marupu rupu ya wafanyakazi zipungue na mwisho wa siku majungu yanaanza kazini..
Wasafi imechukua sana wateja wa matangazo wa media kubwa za zamani... na ujio wa mitandao kama insta na youtube zimesababisha makampuni kufanyia matangazo huko mitandaoni badala ya media kama zamani
Jamaa sijui kazungumzia wasafi gani?..yaani matangazo yao hayazidi hata ya kipindi kimoja mfano XXLHivi wasafi ambao hata coverage yao ni ya kuvizia wana matangazo gani kiasi cha kuitetemesha Clouds? Suala hapa ni mbinyo wa kiuchumi kwa kila sekta ambao umeleta shida kubwa hasa kwa sskta ya habari na utangazaji . Unaweza kuona hata kampuni za magazeti zinasota mfano Mwananchi na ukiongezea Nguvu ya mitandao.
Kurejea matapishi au kutangaziwa dau zuri zaidi?Naona wengine wanapiga Ramli hapa
Mara uchumi.
Mara team Ruge wanaondoka
Mara walioexpire.
Mara the beginning of the end.
Mara Diva ana brand yake kama DJ Khalid (teh teh).
Mara Ruge aliwamudu wafanyakazi.
Ruge akiwa hai kuna watu waliacha kazi, kuna watu wapya walipata kazi na wapo walioacha kazi wakarejea matapishi.
Diva kasema hivi:
Kwasababu yakusimamia ukweli anaouamini, ameamua kufikia maamuzi hayo ambayo anaamini ni sahihi kwake.
Nisamehewe kwakutumia sana jina la marehemu.
Mkuu Loveness Malinzi ameungua?Huyo dogo mpumbavu..ndomana wanasema kabla hujalivagaa uliza..sasa kaenda kwa mtu ambae alishajiungulia kitambooo...
Ilivyouliza[emoji86][emoji28][emoji16][emoji16]Mkuu Loveness Malinzi ameungua?
Ule ufalme wa clouds kwa kiasi fulani umeyumba, wafanyakazi wake Sasa hawana wasiwasi wa kuondoka kwakua, wanachokipata pale, wanaoweza kukupata hata kwenye vituo vingine, na pengine hata zaidi.Clouds wana akil sana...kina diva.dozen na the likes washa expire... Radio inahitaj kizaz kipya ndomana wanawafagia wote wa zaman kuendana na ushindan
Watahama weng tu..utaskia
Kuna exceptional..wenye vipaj vilivyopitiliza..hutokuwa nae ni hasara zaid ya faida..unashindwa hata ngamua ndugu.utafuniwe kila kituUmeongelea swala LA kuchokwa has a pale mtu anapokaa mda mrefu kazini sasa hawa wawili wamekaa hapo clouds kwa zaidi ya miaka 10 kwamba wao hawachokwi...?
Rudia vizuri comment zako nazan utanielewa nnachouliza
Habari za kupewa magari na mikataba hata b12 alikuwa na mkataba mzuri tu, na czan kama alikuwa kachuja kwenye nafasi yake ukicompere na Gadna .
Baba Hashbae Saiv yuko anaendesha sherehe(MC) seriously,,, but mbona alikua na uwezo wa kufanya vyote at once?!anyways,Sema Mwijaku simuelewi kabisawapi musa hussein??