Diva Thee Bawse aikacha Clouds Media

Diva Thee Bawse aikacha Clouds Media

Mimi naona sababu media zimeongezeka.. huku wateja wanazidi kupungua ... soko limekuwa gumu , faida ndogo . Inabidi posho na marupu rupu ya wafanyakazi zipungue na mwisho wa siku majungu yanaanza kazini..

Wasafi imechukua sana wateja wa matangazo wa media kubwa za zamani... na ujio wa mitandao kama insta na youtube zimesababisha makampuni kufanyia matangazo huko mitandaoni badala ya media kama zamani
Hivi wasafi ambao hata coverage yao ni ya kuvizia wana matangazo gani kiasi cha kuitetemesha Clouds? Suala hapa ni mbinyo wa kiuchumi kwa kila sekta ambao umeleta shida kubwa hasa kwa sskta ya habari na utangazaji . Unaweza kuona hata kampuni za magazeti zinasota mfano Mwananchi na ukiongezea Nguvu ya mitandao.
 
Mimi naona sababu media zimeongezeka.. huku wateja wanazidi kupungua ... soko limekuwa gumu , faida ndogo . Inabidi posho na marupu rupu ya wafanyakazi zipungue na mwisho wa siku majungu yanaanza kazini..

Wasafi imechukua sana wateja wa matangazo wa media kubwa za zamani... na ujio wa mitandao kama insta na youtube zimesababisha makampuni kufanyia matangazo huko mitandaoni badala ya media kama zamani
Wasafi hawana hata robo ya matangazo yaliyopo Clouds bro..Clouds wana corporate ads mpaka kero..tuseme wameshusha bei labda,ila matangazo yapo yakutosha sana,jana nilikuwa nasikiliza Power Breakfast karibu 75% ya kipindi ilikuwa commercial advert
 
Hivi wasafi ambao hata coverage yao ni ya kuvizia wana matangazo gani kiasi cha kuitetemesha Clouds? Suala hapa ni mbinyo wa kiuchumi kwa kila sekta ambao umeleta shida kubwa hasa kwa sskta ya habari na utangazaji . Unaweza kuona hata kampuni za magazeti zinasota mfano Mwananchi na ukiongezea Nguvu ya mitandao.
Jamaa sijui kazungumzia wasafi gani?..yaani matangazo yao hayazidi hata ya kipindi kimoja mfano XXL
 
Naona wengine wanapiga Ramli hapa
Mara uchumi.
Mara team Ruge wanaondoka
Mara walioexpire.
Mara the beginning of the end.
Mara Diva ana brand yake kama DJ Khalid (teh teh).
Mara Ruge aliwamudu wafanyakazi.

Ruge akiwa hai kuna watu waliacha kazi, kuna watu wapya walipata kazi na wapo walioacha kazi wakarejea matapishi.

Diva kasema hivi:
Kwasababu yakusimamia ukweli anaouamini, ameamua kufikia maamuzi hayo ambayo anaamini ni sahihi kwake.

Nisamehewe kwakutumia sana jina la marehemu.
Kurejea matapishi au kutangaziwa dau zuri zaidi?
 
Clouds wana akil sana...kina diva.dozen na the likes washa expire... Radio inahitaj kizaz kipya ndomana wanawafagia wote wa zaman kuendana na ushindan

Watahama weng tu..utaskia
Ule ufalme wa clouds kwa kiasi fulani umeyumba, wafanyakazi wake Sasa hawana wasiwasi wa kuondoka kwakua, wanachokipata pale, wanaoweza kukupata hata kwenye vituo vingine, na pengine hata zaidi.
 
Umeongelea swala LA kuchokwa has a pale mtu anapokaa mda mrefu kazini sasa hawa wawili wamekaa hapo clouds kwa zaidi ya miaka 10 kwamba wao hawachokwi...?
Rudia vizuri comment zako nazan utanielewa nnachouliza
Habari za kupewa magari na mikataba hata b12 alikuwa na mkataba mzuri tu, na czan kama alikuwa kachuja kwenye nafasi yake ukicompere na Gadna .
Kuna exceptional..wenye vipaj vilivyopitiliza..hutokuwa nae ni hasara zaid ya faida..unashindwa hata ngamua ndugu.utafuniwe kila kitu
 
Back
Top Bottom