Ila wewe umsujidi zari?Kwani akiandika habari za diva kuna tatizo gani? Acha wivu wa kike,wewe endelea kumsujudia domo. Hili ni jukwaa la celebrity akisemacho diva ni habari pia kama ambavyo unachukizwa na lulu diva kumkatikia domo mbele ya tarzan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe umsujidi zari?Kwani akiandika habari za diva kuna tatizo gani? Acha wivu wa kike,wewe endelea kumsujudia domo. Hili ni jukwaa la celebrity akisemacho diva ni habari pia kama ambavyo unachukizwa na lulu diva kumkatikia domo mbele ya tarzan
Ila wewe umsujidi zari?
Kwani kumsujudia mtu lazima iwe kwenye angle hiyo tu?Kuna uzi wangu humu wa kumsujudia zari?wapi niliandika kuchukizwa na michepuko yake kujimwambafai mbele ya bwana ake? Hebu niletee uzi huo mkuu
Kwani kumsujudia mtu lazima iwe kwenye angle hiyo tu?
aigooo hii ni mara ya pili kushuhudia comment zangu zikifutwaAiseee Daemusin post yako imefutwa
Huyu innocent dependent hana uvumilivu kwa wenzie anachotaka ni kila mtu afanye kile anachoamini yeye(inno)na sio vingine
aigooo hii ni mara ya pili kushuhudia comment zangu zikifutwa
Anamuonea Wivu Lulu Diva, hii ni hatariDivaDaily na innocent dependent ni makuwadi wa..
Ila innocent dependent ndo anashangaza. Eti "sijafurahishwa na lulu diva kumkatikia mondi "..!duh. Wanaume tumeisha..
Aliachana na Heri muziki kwa ufala wake.
Na sababu ya kwanza iliyomfanya kuacha na bwana wake wa zaman Crazy GK eti kisa jamaa alikua hachukulii serious siku yake ya kuzaliwa.
Nawe mi miongoni mwa hao wanaomdanya..eti mzuriUnajua Diva ni msichana mzuri, mrembo, mpambanaji na msomi. Ulitakiwa na mahusiano strong na ya kueleweka.
Lakini unaangushwa na kundi la watu wanaokuzunguka kwa kuwa nimekuwa nakuona mara nyingi unaanzisha mahusiano na watu wasiojua thamani yako. Unakuwa na mahusiano na mtu ambaye inakuwa tofauti na matarajio yako.
Naamini wewe ni mwanamkeu mzuri. Matatizo yaliyopo ni madogo madogo tu kwasababu za kisaikoikoljia.
Jaribu kutafuta mtu wa kawaida, uepuke kuwa dissappointed.
Kuna tatizo. Akiambiwa mzuri wewe una athirika vipi ?