Diva wajibizana vibaya na Diamond Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL

Diva wajibizana vibaya na Diamond Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL

Wanatafta kick hao..kma diva angekuw anamdiss mond insta c ingkuw kitambo tushaonaga...
Hawana lolote wanatafta HEADLINEZ..
 
Mkuu umeniwahi kuipost....inasemekana diva Anamongelea vibaya daimond Instagram, daimond Alikuwa amemwambia diva kuwa kama ningekuwa nimekukaza usingekuwa unaniongelea......majibizano yaliendelea nusu wapigane BDAZIN akazima maic.....habari diyo hiyo.

Lini hiyo mkuu
 
hii habari ya kukazana TCRA hawafungii redio?
 
Huko instagram diva anamuongelea vipi domo? Maana hata sina habari.

Diva huwa hamwongelei domo buana
Ila juzi kati alikua anamnanga Esma
Mi naona hii ni Kiki ya kurudisha mashabiki.
 
shilole namfahamu ila huyo devo cjui cmfahamu kbc
 
Ninamwaka show ya diva sijawahi kusikiliza ila kwaakili ya kawaida tuu diva utamlinganisha vipi na diamond????? Divaa anagombana na mtu aliyemzidi mbali sana diva kuwa mpole kweli tunajua type yako ni wala unga.
 
Diva huwa hamwongelei domo buana
Ila juzi kati alikua anamnanga Esma
Mi naona hii ni Kiki ya kurudisha mashabiki.

Afadhali umeliona hilo, hata mimi nimeshashtukia huo ujinga.
 
Back
Top Bottom