Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
hatima ya nchi! Unaingia jukwaa hili, si ungeenda jukwaa la siasa.We unatakaje? Wanaosomea mapishi hawana wazazi?
Acha kumpa umaarufu asio stahili.
Yaani tuache kujadili hatma ya nchi tumjadili mtu asiyejua kupika?
wewe si ndio divaHere we go again....
Kuna pattern hapa JF ya kuiandama sana Clouds Media group na personalities wake. Najiuliza kwa nini iwe hivyo? Mara mishahara ya watangazaji, mara Kibonde, mara sijui Adam Mchomvu na Fetty wamefanya nini, mara Diva Loveness Love (I like her by the way. She is sassy and classy and perfect for her job) hajui kupika. Kama hajui kupika wewe inakuhusu nini hasa?
Hawana uzalendo na Tanganyika
Hawana uzalendo kivipi wakati wametengeneza ajira kwa Watanzania, wanalipa kodi ya maendeleo ya Tanzania, wanatoa huduma kwa Watanzania?
Pale kuna ajira gani? upande mwingine wa shillingi ndo umewaajiri kufunika kikombe
Sasa unataka kusema wafanyakazi wa pale wanafanya kazi ya kanisa? Hebu acheni kuwa na roho za kutu bana. Clouds wametokea mbali sana na jitihada na juhudi zao yatupasa kuzithamini. Wanachangia kwenye uchumi wa taifa na kuna watu familia zao zinategemea hizo kazi watoazo Clouds.
wanapewa mshahara na posho kama kawa angalia upande wa pili nani kawaweka hapo?
kuchangia uchumi wa taifa? with what sense? kodi ya jengo na paye? kama ni kuchangia wanachangia matumbo ya watu
kila mjasiriamali anayelipa kodi anachangia uchumi wa taifa. Na kila mfanyakazi anayelipa kodi ya mapato anachangia uchumi wa taifa. Hii ni nadharia nyepesi sana.
Kuhusu ya nani kawaweka hapo hiyo sijui na hainihusu. Navyojua mimi ajira ni hiari. Kama mwenye kampuni anaona biashara haina faida na haki na ni hiari yake kuiacha hiyo biashara. Kama mfanyakazi haipendi hiyo kazi yake naye ana haki ya kuiacha hiyo kazi ili mradi tu taratibu zote
zinafuatwa.
stupid thread