Division 3 points 29,ndyo nn,maajabu ya Necta

mikazó

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
204
Reaction score
16
Mdogo wangu kapata division 3 ya points 29 kwa maelezo yake,mi nikamwambia hyo ni div 4,ananibishia,hii imekaaje?
 
A=1 point
B+=2 points
B=3 points
C=4 points
.
.
.
.
Hapo kwenye B+ na B pamewachanganya wengi wasiofuatilia mabadiliko yanapotokea.
 
Duh,kwel elimu ye2 majanga.,imekua kama chuo sasa,sasa kwa point 29,atapata shule kwel?
 
mikazó;8767287 said:
Duh,kwel elimu ye2 majanga.,imekua kama chuo sasa,sasa kwa point 29,atapata shule kwel?

majanga zaidi ya yale ya snura
 
Sasa points 29 huwa ni division 4 leo hii ni 3. Yaani kama ndo hivi ni hatari sana na pia ni majanga makubwa sana katika nchi.Huko sio elimu bora bali bora elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…