Division of conjugal role in family

Division of conjugal role in family

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1635602250162.png
 
Nzur Sana[emoji4]

Sema tatizo wanawake ukiifanya sikU Moja kumsurprise, yeye Anaona kumbe ndo wajibu wako.

Hachelewi kukuletea mbeleko mbele za wageni sebleni kukukumbusha utekeleze wajibu wako
Huyo mwanamke atakua mkorofi, bado society hajakubali nafasi ya mwanaume katika conjugal duties.
Hata mke awe na mimba ya miezi nane/tisa, mume atafua lakini ataona aibu kuanika nguo nje.
 
Society ipi Mkuu Sky Eclat?
Hili swala ni pana sana, Ninahisi lilichangia Wazungu kuwa na self contained houses ili yanayotokea nyumbani yabaki nyumbani.

Bila kujali race katika jamii zote nafasi ya mwanamke ni nyumbani. Victorian era mwanamke akipata ajira ni ishara kuwa mshahara wa mume wake ulikua mdogo.
 
Majuu baadhi ya MABEBERU eti kuna 2 self contained katika baadhi ya nyumba za kisasa. Couples hawalali tena pamoja mwenye nyege zake anamfuata mwenzie wanaenda kunyanduana wakimaliza anarudi kulala kwake.
Kuna bilionea mmoja mmarekani miaka ya karibuni alitafuta kibinti cha kujirusha nacho. Mkewe akajua akaamua kufile kwa divorce. Nadhani ndoa yao ilikuwa na miaka 40 na ushee walioana wakiwa bado na umri mdogo. Mume hakutaka mke apate hata senti kwa kuwa alikuwa ni mama wa nyumbani akadai kazi yake ilikuwa ni kulea watoto wao nadhani wanne, kusafisha nyumba, kufua na kupika hivyo hakuchangia chochote kwenye utajiri wake. Jaji akamwambia ME hayo yote aliyoyafanya kwa miaka yote mliyokuwa pamoja yalikupa wewe peace of mind hivyo uweze kufanya kazi zako vizuri na kupata promotion kila mara hadi kufikia kuwa CEO. Hivyo huo utajiri wako naye kachangia sana tu kwa hiyo anastahili mgao wa pasu kwa pasu. Wanawake na ME wapenda haki za akina mama walifurahia sana hukumu ile.
Hili swala ni pana sana, Ninahisi lilichangia Wazungu kuwa na self contained houses ili yanayotokea nyumbani yabaki nyumbani.

Bila kuja ki race katika jamii zote nafasi ya mwanamke ni nyumbani. Victorian era mwanamke akipata ajira ni ishara kuwa mshahara wa mume wake ulikua mdogo.
 
Majuu baadhi ya MABEBERU eti kuna 2 self contained katika baadhi ya nyumba za kisasa. Couples hawalali tena pamoja mwenye nyege zake anamfuata mwenzie wanaenda kunyanduana wakimaliza anarudi kulala kwake.
Kuna bilionea mmoja mmarekani miaka ya karibuni alitafuta kibinti cha kujirusha nacho. Mkewe akajua akaamua kufile kwa divorce. Nadhani ndoa yao ilikuwa na miaka 40 na ushee walioana wakiwa bado na umri mdogo. Mume hakutaka mke apate hata senti kwa kuwa alikuwa ni mama wa nyumbani akadai kazi yake ilikuwa ni kulea watoto wao nadhani wanne, kusafisha nyumba, kufua na kupika hivyo hakuchangia chochote kwenye utajiri wake. Jaji akamwambia ME hayo yote aliyoyafanya kwa miaka yote mliyokuwa pamoja yalikupa wewe peace of mind hivyo uweze kufanya kazi zako vizuri na kupata promotion kila mara hadi kufikia kuwa CEO. Hivyo huo utajiri wako naye kachangia sana tu kwa hiyo anastahili mgao wa pasu kwa pasu. Wanawake na ME wapenda haki za akina mama walifurahia sana hukumu ile.
Ni kweli kabisa, mke anapewa hela na mume wake za kutunza nyumba kila mwisho wa mwezi. Ole wako useme zinekwisha. Zikiisha mama inabidi aamke asubuhi kuoka mikate.

Conjugal roles za mama ni ngumu sana, afikirie cha kupika kila siku na watu waridhike na bado usiku jitu linarudi na mipombe yake linakuparamia.
 
😂😂😂😂😂😂 kwa hiyo badala ya kufanya mapenzi UNABAKWA!!

Ni kweli kabisa, mke anapewa hela na mume wake za kutunza nyumba kila mwisho wa mwezi. Ole wako useme zinekwisha. Zikiisha mama inabidi aamke asubuhi kuoka mikate.

Conjugal roles za mama ni ngumu sana, afikirie cha kupika kila siku na watu waridhike na bado usiku jitu linarudi na mipombe yake linakuparamia.
 
😂😂😂😂😂😂 kwa hiyo badala ya kufanya mapenzi UNABAKWA!!
Kwakua mwanaume ndiye bread winner, anaona anayo haki ya kuridhishwa hata kama mama hayuko tayari.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nzur Sana[emoji4]

Sema tatizo wanawake ukiifanya sikU Moja kumsurprise, yeye Anaona kumbe ndo wajibu wako.

Hachelewi kukuletea mbeleko mbele za wageni sebleni kukukumbusha utekeleze wajibu wako
Kumbe ni wajibu wa nani? Huyo mtoto sio wako?
 
Akitokea mhuni akamtongoza mke akapewa na mhuni akawa anafanya naye mapenzi badala ya kumbaka ndoa imeingia dosari kubwa. KE anamwambia mhuni, “Na mume wangu tukifanya si enjoy hivi” basi mhuni anaongeza mautundu na maujuzi.

Kwakua mwanaume ndiye bread winner, anaona anayo haki ya kuridhishwa hata kama mama hayuko tayari.
 
Akitokea mhuni akamtongoza mke akapewa na mhuni akawa anafanya naye mapenzi badala ya kumbaka ndoa imeingia dosari kubwa. KE anamwambia mhuni, “Na mume wangu tukifanya si enjoy hivi” basi mhuni anaongeza mautundu na maujuzi.
Umewaza sana
 
Akitokea mhuni akamtongoza mke akapewa na mhuni akawa anafanya naye mapenzi badala ya kumbaka ndoa imeingia dosari kubwa. KE anamwambia mhuni, “Na mume wangu tukifanya si enjoy hivi” basi mhuni anaongeza mautundu na maujuzi.
Matajiri wa zamani walichapiwa sana tu, talaka ilikuwa ni taboo na inaharibu sura ya familia. Mzee anakua na official mistress ambae hata marafiki zake wanamjua lakini kwenye sherehe kubwa anakwenda na mke wa ndoa.
 
Kuna watu watakuja kusema....."tafuta pesa"[emoji23][emoji23]...uweke..."house manager"
Siku akisahau kuweka bins out tu...mnuno wiki nzima...[emoji854][emoji6]
 
Matajiri wa zamani walichapiwa sana tu, talaka ilikuwa ni taboo na inaharibu sura ya familia. Mzee anakua na official mistress ambae hata marafiki zake wanamjua lakini kwenye sherehe kubwa anakwenda na mke wa ndoa.
Kwaiyo ndoa za sasa rahisi sana ukidai talaka hata mama anakusaidia utasikia Rudi nyumbani mwanangu kwenu haujaua hata kile chumba chako hakijapangishwa
 
Kuna watu watakuja kusema....."tafuta pesa"[emoji23][emoji23]...uweke..."house manager"
Siku akisahau kuweka bins out tu...mnuno wiki nzima...[emoji854][emoji6]
House manager hataweza kukubali kulea watoto wako na mama yako aliye angular shambani amevunjika mkono. apike , afue, asafishe nyumba bila mshahara. Kisa ni yule Beberu wa mahari alipelekwa kwenu.
 
Back
Top Bottom