Division of conjugal role in family

Division of conjugal role in family

Ndoa za zamani zilipitia mengi lakini pia hakukua na social media, mengi yaliendelea bila kufahamika.
Zamani kulikua na uvumilivu na stara, utakuta wanandoa wanapigana ndani kwa ndani ili wanavumiliana hawayatoi nje sasa kizazi hiki mkizinguana tu kesho anayamwaga Instagram, Fb mpaka kwenye magroup WhatsApp
 
Zamani kulikua na uvumilivu na stara, utakuta wanandoa wanapigana ndani kwa ndani ili wanavumiliana hawayatoi nje sasa kizazi hiki mkizinguana tu kesho anayamwaga Instagram, Fb mpaka kwenye magroup WhatsApp
Kuna mama mmoja aliniambia sifa kubwa ya mwanake ni kumudu kukalia pichu yake isionekane, maana yake ni kuficha matatizo.

Tunaweza kuficha matatizo lakini yakijaa sana kichwani yana burst out. Unahitaji mtu unaemuamini na kuongea nae. Ulaya unamlipa therapist.
 
Kuna mama mmoja aliniambia sifa kubwa ya mwanake ni kumudu kukalia pichu yake isionekane, maana yake ni kuficha matatizo.

Tunaweza kuficha matatizo lakini yakijaa sana kichwani yana burst out. Unahitaji mtu unaemuamini na kuongea nae. Ulaya unamlipa therapist.
Kwa zamani unaweza kuongea na mshenga, wasimamizi wa harusi,bibi, babu,mjomba au shangazi sasa hivi maisha yamebadilika sana kwanza umri wa kuishi umeshuka sana kwaiyo kupata mtu mwenye busara na experience ni nadra Sana pia kusikiliza ushauri na mawazo among piers(marafiki/waskaji) ambao % kubwa busara na experience ni ndogo kwaiyo ni Mara chache kupata ushauri mzuri, sahihi na kwa wakati na kwa professional therapy ni fani ambayo bado haijakua sana na hata waliopo naona ujanjajanja mwingi cc Dr mauki
 
Hii mada ina nafasi yake katika kesi ya Mbowe ‘If a woman rules the world what would happen’.
Economies will collapse, trade will decline, inflation will grow, there will be secret service intelligence agencies, global security will at risk, terrorist will have an easy way, it will become chaos.
 
Majuu baadhi ya MABEBERU eti kuna 2 self contained katika baadhi ya nyumba za kisasa. Couples hawalali tena pamoja mwenye nyege zake anamfuata mwenzie wanaenda kunyanduana wakimaliza anarudi kulala kwake.
Kuna bilionea mmoja mmarekani miaka ya karibuni alitafuta kibinti cha kujirusha nacho. Mkewe akajua akaamua kufile kwa divorce. Nadhani ndoa yao ilikuwa na miaka 40 na ushee walioana wakiwa bado na umri mdogo. Mume hakutaka mke apate hata senti kwa kuwa alikuwa ni mama wa nyumbani akadai kazi yake ilikuwa ni kulea watoto wao nadhani wanne, kusafisha nyumba, kufua na kupika hivyo hakuchangia chochote kwenye utajiri wake. Jaji akamwambia ME hayo yote aliyoyafanya kwa miaka yote mliyokuwa pamoja yalikupa wewe peace of mind hivyo uweze kufanya kazi zako vizuri na kupata promotion kila mara hadi kufikia kuwa CEO. Hivyo huo utajiri wako naye kachangia sana tu kwa hiyo anastahili mgao wa pasu kwa pasu. Wanawake na ME wapenda haki za akina mama walifurahia sana hukumu ile.
Hapa bongo ipo kwenye Bi Hawa Mohamed vs Ally Seifu (un reported)
 
Back
Top Bottom