Nairoberry
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 932
- 525
Nyang'au wako kila mahaliKwan D.O ni mkenya au mmemkabidhisha ? Mmempokonya miguna wa miguna ss mnamshobokea D.O
Kwan D.O ni mkenya au mmemkabidhisha ? Mmempokonya miguna wa miguna ss mnamshobokea D.O
Sure he is kenyan ni daubt,u guys have to be pround,he speaks even swahili,we are pround of him as eastafricans.Origi is a Kenyan by blood. His father is a Kenyan and his mother is also a Kenyan.
Kumbe hana adabu eh!!!ashaukataa ukenya mmekomaa tuu eti mkenya yeye ni mbelgiji mwenye asili ya kenya ila sio mkenya
Acha umbea, leta ushahidi kwamba ameukataa ukenya. Alafu katiba ya Kenya inakubali uraia pacha.ashaukataa ukenya mmekomaa tuu eti mkenya yeye ni mbelgiji mwenye asili ya kenya ila sio mkenya
ashaukataa ukenya mmekomaa tuu eti mkenya yeye ni mbelgiji mwenye asili ya kenya ila sio mkenya