Divorce lawyers wanaenda ku-download pesa 2025!

Divorce lawyers wanaenda ku-download pesa 2025!

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
Mwaka 2025 Divorce lawyers wanakwenda kuwa Mabilionea.

Wateja (watarajiwa)
1. Wolper,
2. MC Pilipili,
2. Sister P.
 

Attachments

  • IMG_3350.jpeg
    IMG_3350.jpeg
    1.3 MB · Views: 4
  • 1728759764686.jpg
    1728759764686.jpg
    154.8 KB · Views: 4
Mwaka 2025 Divorce lawyers wanakwenda kuwa Mabilionea.

Wateja (watarajiwa)
1. Wolper,
2. MC Pilipili,
2. Sister P.
SIster P si ameolewa juzi hapa wiki iliyopita, kaolewa na mchungaji. Au ilikuwa ni habari ya miaka ya nyuma?
Amekuwa mama mchungaji.
 
Mwaka 2025 Divorce lawyers wanakwenda kuwa Mabilionea.

Wateja (watarajiwa)
1. Wolper,
2. MC Pilipili,
2. Sister P.
MC pilipili anakuwa kama taahira hivi, sasa mwanamke asiye na tamaa utampata wapi? Mbinu tulishwapa, msifunge ndoa, oeni kimkakati huku pakiwa na precautions za kufa mtu. Mfano , usiishi nae kwenye nyumba uliyojenga, hata kama umejenga, pangisha kisha nenda kapange ndio usihi nae..
 
Mwaka 2025 Divorce lawyers wanakwenda kuwa Mabilionea.

Wateja (watarajiwa)
1. Wolper,
2. MC Pilipili,
2. Sister P.
Huwezi sikia ndoa ya muislam......kwenye Uislam hamna huo ukanjanja na wizi
Tukubali tukatae uislam upo mbele ya muda,Kila kitu kimewekwa kisheria maelfu ya miaka nyuma iliyopita,ukiolewa unajua unakuja kufanyaje na utaondoakaje.
Hizi dini zinazowaambia waumini wake wanywe pombe ila wasilewe😁😃😃😆(maajabu utumie hypnotics ial usiwe sober) ndio utasikia huu ujinga
 
Huwezi sikia ndoa ya muislam......kwenye Uislam hamna huo ukanjanja na wizi
Tukubali tukatae uislam upo mbele ya muda,Kila kitu kimewekwa kisheria maelfu ya miaka nyuma iliyopita,ukiolewa unajua unakuja kufanyaje na utaondoakaje.
Hizi dini zinazowaambia waumini wake wanywe pombe ila wasilewe😁😃😃😆(maajabu utumie hypnotics ial usiwe sober) ndio utasikia huu ujinga
Ndo umepata access ya mtandao leo nini?

Haya google mtu anaitwa Shilole mara moja
 
Sasa huu utakua ni uzwazwa Yan nyumba yako cha kufia nini, fanya mfiche kama umejenga nyumba, pangisha kimya kimya
Mwanamke akifika miaka 60 na kuendelea ndipo Anatakiwa ajue Mali zako , kwenye umri wao wa 40 kushuka chini wanakua na tamaa kubwa hapo ndio wanakutana na matapeli wa mapenzi wanapewa mipango hewa wanaishia kutumika kingono na kutapeliwa pesa zao kama wanazo, hapo ukimuahidi mwanamke mambo makubwa na chupi anavua kirahisi haijalishi kasoma au laah, maana wanakua kama vichaa
 
Shishi babe
Huwezi sikia ndoa ya muislam......kwenye Uislam hamna huo ukanjanja na wizi
Tukubali tukatae uislam upo mbele ya muda,Kila kitu kimewekwa kisheria maelfu ya miaka nyuma iliyopita,ukiolewa unajua unakuja kufanyaje na utaondoakaje.
Hizi dini zinazowaambia waumini wake wanywe pombe ila wasilewe😁😃😃😆(maajabu utumie hypnotics ial usiwe sober) ndio utasikia huu ujinga
JINA: Zuwena Shishi,
DINI: Al Islamiya
UMRI: 53,
IDADI YA NDOA: 4,
Hali ya NDOA: Divorced.
 
Back
Top Bottom