Diwani amwaga machozi mbele ya kikao akitaka Paul Makonda agombee Ubunge Arusha Mjini

Diwani amwaga machozi mbele ya kikao akitaka Paul Makonda agombee Ubunge Arusha Mjini

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Madiwani wa jiji la Arusha wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ikimpendeza muda utakapofika achukue fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini ambalo kwa sasa lipo chini ya Mrisho Mashaka Gambo.

Wakizungumza Naibu Meya wa jiji la Arusha, Abraham Mollel na Diwani wa kata ya Themi, Petro Lobora katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kilichoketi Februari 24, 2025 kwa ajili ya kujadili mapendekezo ya mpango wa bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 katika jiji la Arusha wamemuomba Makonda achukue fomu kwa kigezo kwamba wanamuamini.Hata hivyo Makonda hakujibu chochote kuhusiana na kauli hizo.


 
Atakapogombea ubunge hayo ayafanyayo, kwa sasa hutaweza kuyafanya, atakuwa ngazi nyingine akipambana na madiwani, Makonda, anafaa kwa nafasi aliyopo!
 
Madiwani wa jiji la Arusha wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ikimpendeza muda utakapofika achukue fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini ambalo kwa sasa lipo chini ya Mrisho Mashaka Gambo.

Wakizungumza Naibu Meya wa jiji la Arusha, Abraham Mollel na Diwani wa kata ya Themi, Petro Lobora katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kilichoketi Februari 24, 2025 kwa ajili ya kujadili mapendekezo ya mpango wa bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 katika jiji la Arusha wamemuomba Makonda achukue fomu kwa kigezo kwamba wanamuamini.Hata hivyo Makonda hakujibu chochote kuhusiana na kauli hizo.


View attachment 3248473
Duuh! Mzee mzima analia mpaka watoto wake wanamshangaa eti kisa Bashite agombee, kweli uchawa nchi hii umefikia kiwango cha juu sana
 
Madiwani wa jiji la Arusha wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ikimpendeza muda utakapofika achukue fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini ambalo kwa sasa lipo chini ya Mrisho Mashaka Gambo.

Wakizungumza Naibu Meya wa jiji la Arusha, Abraham Mollel na Diwani wa kata ya Themi, Petro Lobora katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kilichoketi Februari 24, 2025 kwa ajili ya kujadili mapendekezo ya mpango wa bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 katika jiji la Arusha wamemuomba Makonda achukue fomu kwa kigezo kwamba wanamuamini.Hata hivyo Makonda hakujibu chochote kuhusiana na kauli hizo.


View attachment 3248473
Maigizo yameanza
 
Madiwani wa jiji la Arusha wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ikimpendeza muda utakapofika achukue fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini ambalo kwa sasa lipo chini ya Mrisho Mashaka Gambo.

Wakizungumza Naibu Meya wa jiji la Arusha, Abraham Mollel na Diwani wa kata ya Themi, Petro Lobora katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kilichoketi Februari 24, 2025 kwa ajili ya kujadili mapendekezo ya mpango wa bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 katika jiji la Arusha wamemuomba Makonda achukue fomu kwa kigezo kwamba wanamuamini.Hata hivyo Makonda hakujibu chochote kuhusiana na kauli hizo.


View attachment 3248473
Chawa wa Makonda huyo hana lolote

View: https://www.instagram.com/reel/DGfM25vOUXE/?igsh=MTd2dHp4dWp5Ym9hZQ==
 
Kama chaguo ni kati ya hao wawili bora Gambo ni Muungwana, lakini wote wanagalagazwa na Nabii Godbless Lema.
 
Back
Top Bottom