Pre GE2025 Diwani Arusha: Madiwani wa Arusha tunakuomba msamaha Mkuu wa Mkoa kwa kumchagua Mbunge asiyejitambua

Pre GE2025 Diwani Arusha: Madiwani wa Arusha tunakuomba msamaha Mkuu wa Mkoa kwa kumchagua Mbunge asiyejitambua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Diwani wa Kata ya Themi wilaya ya Arusha mjini Mkoani Arusha Petro Lobora wakati wa kikao cha Baraza la madiwani bajet ya halmashauri kwa mwaka 2025-2026 alisimama na kuzungumza kwa niaba ya madiwani kwamba Mbunge walio nae Mrisho Mashaka Gambo hatoi ushirikiano kwa madiwani pindi anapohitajika kutoa msaada wake kama mbunge wa Arusha mjini hapokei simu.

Aidha Diwani huyo alichukua nafasi yakueleza changamoto ya wafanyakazi wa kampuni ya General Tire ambao wako zaidi ya 3000 wanadai fidia zao mpaka leo hawajalipwa akimuomba Mkuu wa mkoa Arusha Mh. Paul Makonda awatatulie changamoto hiyo.

 
Diwani wa Kata ya Themi wilaya ya Arusha mjini Mkoani Arusha Petro Lobora wakati wa kikao cha Baraza la madiwani bajet ya halmashauri kwa mwaka 2025-2026 alisimama na kuzungumza kwa niaba ya madiwani kwamba Mbunge walio nae Mrisho Mashaka Gambo hatoi ushirikiano kwa madiwani pindi anapohitajika kutoa msaada wake kama mbunge wa Arusha mjini hapokei simu.

Aidha Diwani huyo alichukua nafasi yakueleza changamoto ya wafanyakazi wa kampuni ya General Tire ambao wako zaidi ya 3000 wanadai fidia zao mpaka leo hawajalipwa akimuomba Mkuu wa mkoa Arusha Mh. Paul Makonda awatatulie changamoto hiyo.

Duh!...Gambo kawakosea nini hawa jamaa?

ChoiceVariable MamaSamia2025
 
Duh!...Gambo kawakosea nini hawa jamaa?

ChoiceVariable MamaSamia2025
Gambo ni katili na mfitini. Kashagombana karibu na viongozi wote wakubwa wa Arusha. Akiwa RC wakati wa ajali ya Lucky Vicent aliwaweka ndani watu waliokuwa wanaenda direct kwenye familia za wahanga kutoa rambirambi. Alitaka rambirambi zipitie kwake. Katika aliowatia ndani walikuwemo viongozi wa dini. Huyu Meya wa jiji naye alinusurika kutiwa ndani hiyo siku. Kwa wakati huo Meya hakuwa na cheo chochote. Uki-connect dot utaona Meya nae ana jambo lake na Gambo. Mimi namshauri Gambo atafute kazi nyingine ya kufanya.
 
Ngoja nisubiri kuona kama Mrisho Gambo ataweza kweli kumshinda BASHITE kwenye hii vita.
 
Back
Top Bottom