Pre GE2025 Diwani Arusha: Mbunge Mrisho Gambo ni matatizo tunayotembea nayo, hafai

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Team Gambo vs Team Mayor( ndani kuna RC, DC na Mkurugenzi)..Arusha ni uwanja wa vita..kila mtu mjuaji hata wasio na ulewa kama cha Ujanja Doita..
 
Hebu na mimi niende Arusha nna kauzoefu zoefu na ubishi nimekaa Kigoma kidogo waandishi tukutane Kisongo ajenda ni kumshenyeta Gambo mpaka arudi kariakoo kuuza uji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…