Ungemsubiri kwenye kijiwe chenu ukamwambia kama ulivyomwambia mara ya kwanzaDiwani msuya wiki iliyopita si nilikuambia pale maeneo au kijiwe chetu uwe makini sana si unaona mkuu amefanya yake? Nilikuambia na haukutaka kusikia nilikuambia reconciliation yanaenda Yanakuknock out wewe nje ya mfumo,mkuu anaandaa safu yake ilikuwa ni matter of time tu ya wewe ya kukula kichwa si unaona leo yametokea?
Ila subiri mkuu anakuandalia nafasi ya ubalozi katika nchi mmoja ambayo very soon pale kwenye kijiwe chetu nitakuchana,nisubiri mida yetu Ile ila tubu mkuu ,tubu mkuu .Ahsante