Tetesi: Diwani Halmashauri ya Mji Korogwe aukacha Udiwani

Tetesi: Diwani Halmashauri ya Mji Korogwe aukacha Udiwani

Magimbi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
1,434
Reaction score
1,211
Kuna habari ambayo bado ni tetesi kuwa Diwani wa kata ya Kilole Korogwe Mji ambaye ni motto wa Mbunge wa Korogwe Vijijini Mh. Steven Ngonyani aka Maji Marefu ameacha Udiwani baada ya kuona hauna faida kama alizozifikiria.

Diwani huyo Mh. Thamas au Toma alikuwa ni Diwani aliyechaguliwa kwa kura "lukuki" za wanachama na wapenzi wa CCM katika Kata hiyo. Inasemekana hajahudhuria vikao vingi bila taarifa yeyote na yupo bize na biashara za Mzee Maji Marefu katika jiji la Nairobi. Naendelea kufuatilia hizo habari kuona kama zinaukweli.

Kama kuna mwenye habari zaidi ya hizi tafadhali ujulishe Jukwaa maana hizi ni tetesi tu bado.
 
Amekuwa na haraka.
angesubiri kidogo aje kuridhi kiti cha baba yake.
 
Hata kama kajitoa,uchaguzi wa marudio lazima muisome namba!
 
Wengi waliokuwa wametumia hela nyingi kupata ubunge na udiwani ndo wanalalamika.
 
Namuonea huruma yule aliyekopa hela bank kaenda kujenga hotel.
 
Hata kama ataacha udiwani leo. wala chadema msipoteze mda wenu kupeleka mgombea maana hiyo sio kata yenuuu.
Na wala msisubutu kupeleka sura ya yule babu yenu ndoo kipigo kitazidi kile cha kama sawa??
 
Namuonea huruma yule aliyekopa hela bank kaenda kujenga hotel.
Kumbuka unayemsema hajaanza harakati za kusaka leo alikuwa mwanamuziki toka kitambo. Endelea kutembelea Bike [emoji605] [emoji605] [emoji605]
 
Back
Top Bottom