Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Mbona nchi zingine hazitaki kuwajuwa nyinyi? Mna tatizo gani?Sasa hiyo nayo ni sifa?
Sisi tunawajua nje ndani, na sio nyie tu tunaijua Africa na dunia kwa ujumla.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nchi zingine hazitaki kuwajuwa nyinyi? Mna tatizo gani?Sasa hiyo nayo ni sifa?
Sisi tunawajua nje ndani, na sio nyie tu tunaijua Africa na dunia kwa ujumla.
Hahahaha, TV zenu hadi zimeweka "reporters" wao Tanzania [emoji1][emoji1][emoji1]Kuna Wakenya wawili watatu wanaoishi huko kwenu. Pengine hao ndio waliopost. Ila Mkenya anayeishi Kenya hana shughuli na news zenu.
TV stations zao ni mbovu sana. Kuna siku niliamua kutazama news yao ya station inayoitwa TBC. Nakuambia sikutazama zaidi ya dakika tano. Studio ni mbovu, mtangazaji ana sura ya kiatu. Mavazi kama ya mahabusu. Yaani ni kioja tu. Watangazaji kwenye ground wameparara kama magoti ya ngamia.hamna mkenya mwenye akili timamu atakaa chini na aanze kutazama tv za tanzania.....kwanza tv stations zenu hata hatuzijui
Mbona nchi zingine hazitaki kuwajuwa nyinyi? Mna tatizo gani?
TV stations zao ni mbovu sana. Kuna siku niliamua kutazama news yao ya station inayoitwa TBC. Nakuambia sikutazama zaidi ya dakika tano. Studio ni mbovu, mtangazaji ana sura ya kiatu. Mavazi kama ya mahabusu. Yaani ni kioja tu. Watangazaji kwenye ground wameparara kama magoti ya ngamia.
Media zetu ni kubwa sana hapa Africa mashariki. Tuna branches Uganda, Tanzania na hata najua hivi karibuni tutaingia Ethiopia. Ni kama tu bank zetu ambazo zimevuruga maeneo yote kuanzia South Sudan hadi Congo. Sisi hatupo ligi yenu. Endeleeni kushindana na Burundi.Hahahaha, TV zenu hadi zimeweka "reporters" wao Tanzania [emoji1][emoji1][emoji1]
Hahahaha, TV zenu hadi zimeweka "reporters" wao Tanzania [emoji1][emoji1][emoji1]
MK254 mnadhahihakiwa. Bora Kenya tungeinunua na kuigeuza kuwa mbuga ya wanyama tu au museum.
Miguna kala shindano,na ndio kapsaaaa!!!Where is Miguna Miguna?
Media zenu zote mkijumlisha kwa pamoja haziwezi fikia "Azam media house", hizo zenu ni utopolo tu[emoji23][emoji23]Media zetu ni kubwa sana hapa Africa mashariki. Tuna branches Uganda, Tanzania na hata najua hivi karibuni tutaingia Ethiopia. Ni kama tu bank zetu ambazo zimevuruga maeneo yote kuanzia South Sudan hadi Congo. Sisi hatupo ligi yenu. Endeleeni kushindana na Burundi.
Zaidi ya yule dereva wa lorryKwa ninavyojua in That Banana République of Kunyaland this is not News, just part of Regular Kenya Police practice.
Among police killings niliumia sana juu ya wale vijana wawili wa Embu.
May the Lord rest them Embu brothers in eternal peace.
Makomando walegevu sana, mwanjeshi unateswaje haswa na polisi[emoji1787][emoji1787]Nyie polisi wenu tunasoma wanachokifanya kwa wanajeshi kwenu huko, ikiwa wana uwezo huo kwa wanajeshi, je kwa raia kajamba kama wewe...hebu pitia huu uzi Polisi mlichowafanyia hao wanajeshi kwa ushahidi wao mmewakomoa ila mnatia hasira
Zaidi ya yule dereva wa lorry