Africana Jr.
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 123
- 17
Nina wasi wasi huyu anaweza akawa pandikizi la ccm. Kwa nini ikawa kirahisi rahisi kukubali na kwenda kuonyesha ilipo na kukiri?
Mkuu ungekuwa wewe ungekataa kuonyesha silaha? Diwani kaona bora niwapeleke chimbo aliloweka silala asiwasumbue polisi, hongera Diwani kwa kujivua gamba
Kawaida yako kada wa Chi-Chi-Em kukemea wote wanaotaka kuharibu mchuzi wako. Pole, taratibu utatambua kwa nini unapoteza muda kutetea upuuzi unaofanyika ndani ya chama chako na serikali mliyounda kwa kuiba kura.and why do u associate chenge,lowasa and rostam with cccm?? bogus kabisa wewe
huyo walimseti hata kama angekuwa mwizi wa kweli asingejirahisisha kiasi icho na kuionyesha haraka, yote kwa yote ningefurai kama angetuletea huku arusha ssiku ile ya maabomu:alien:
Hivi yule Meya wa CCM Mwanza aliyekuwa rumande kwa tuhuma za mauaji ya katibu wa ccm ameshatoka??Hata kama mtadelete comment za watu, Narudia tena kuandika kuwa chadema inavyoonekana wengi ni majambazi. Hivi yule diwani wa chadema aliyekuwa rumande kwa kosa la mauaji ameshatoka?
Kama ni kweli, hilo ni kosa la huyo Mh. Diwani kama yeye. Kwa vyovyote vile hilo kosa halina uhusiano na dhehebu lake la dini au itikadi yake katika chama chochote.
Tuache ushabiki, tusimamie ukweli penye ukweli.
Hapo lazima kuna kitu Ccm wamefanya, lazima!!
Duh kuwa mwanachadema raha, yaani unapata excuse kwa kila kosa, ukisababisha watu wauawe ni kosa la Ccm kuchakachua, kukamatwa na silaha ni sisiem wamepanga njama, kiongozi kuhamia Ccm ni mafisadi wamemhonga.
Halafu yakifika shingoni dawa ni kumkana tu. "Ni mwananchi mhalifu tu huyo haihusiani na Chadema" which is true, sema tatizo hiyo busara hujitokeza pindi Mchadema anapolitinginya tu. Siyo Msisiem...
Hivi yule Meya wa CCM Mwanza aliyekuwa rumande kwa tuhuma za mauaji ya katibu wa ccm ameshatoka??
kashaga walipwa sh. Ngap na chama cha magamba{ccm}? Mbna umekuja na kasi sana af unatetea uovu? Nani asiyeyajua maovu ya chama kilichokutuma? Uwe unawaza wanao watakuja kuishi vipi katika nchi unayoibomoa kwa mikono yako mwenyewe,kwa kupewa vipesa vidogo na kukufanya usahau harufu ya shida ulionayo? Unahitaji kubadilika wewe ni kijana gani mwenye akili za kushikiwa?yani makamba kujiengua ndo mnatembea kifua mbele kana kwamba mmefanikisha kuinusuru nchi kutoka gizani,ufisadi,rushwa,ushikajilization, na magamba mengine mengi.uwe unafikiria mambo ya kuchangia kama hauwezi uwe mtazamaji.and why do u associate chenge,lowasa and rostam with cccm?? bogus kabisa wewe