Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wewe anayechukiwa na watanzania unajifanya humjui!?? Yaani watanzania wamchukie Mbowe kwa lipi hasa linalohusiana na maisha yao??Mimi kinachonisikitisha Kwa sasa, ni kuona Watanzania wengi wakiongezeka Kwa Kasi kuwa na chuki na Mzee Mbowe,
Mbowe anavuna alichopandaDUUH! KWELI BINADAMU WAKIAMUA KUKUCHAFUA NA KUKUSHUSHA HAWAKUACHI SALAMA
SAFARI HII MBOWE HACHOMOKI KWA HAWA VIUMBE
WAMEMUAMULIA KWAKWELI.... [emoji27][emoji27][emoji27]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema tu sikukandamizia,kuhusu Chacha Wangwe ni kweli. Tena nakumbuka kipindi hicho Zitto alitumika sana.Ha! Ha! Ha! Ha! Kuna watu hata kama wanakupinga huwa unawaheshimu, sasa kwa Victoire kuandika "You nailed it" nashangaa maana siamini kama hata huo ugoro kausoma!!
Mbowe ajitokeze akanushe sio kila siku anaandaa ya corona huku akiuwa watuYou're very uncultured....!!
Mtoto ni wewe unayeleta umbeya baada ya kusikiliza maongezi ya baba na mamako.
Kipindi hiki mbowe hachomokiJamani kila siku Uzi ni juu ya mbowe tu? Hapana mtamtenda Mungu dhambi kama, mbowe hana dola angekuwa ametiwa nguvuni na intelegensia ya Tanzania, for this moment I stand with mbowe
Ni kweli kwamba Zitto alitumikaje??Sema tu sikukandamizia,kuhusu Chacha Wangwe ni kweli. Tena nakumbuka kipindi hicho Zitto alitumika sana.
Mkuu, Kwa Andiko liliopo hapo juu unaona huo ni upendo Kwa Mbowe?Wewe anayechukiwa na watanzania unajifanya humjui!?? Yaani watanzania wamchukie Mbowe kwa lipi hasa linalohusiana na maisha yao??
Yule diwani alikua na nia kugombea ubunge 2020 Ifakara . Muulizeni mke wake. Tuanzie hapo kama Komu alivyomuua Straton Mushy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili tukio kuna watanzania wako remand prison mpaka leo mbona Mbowe hajakamatwa ?Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.
Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.
Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.
Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.
Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!
Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.
Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.
Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.
Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.
Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema tu sikukandamizia,kuhusu Chacha Wangwe ni kweli. Tena nakumbuka kipindi hicho Zitto alitumika sana.
Kwa mauaji na utapeli wa kisasaWewe anayechukiwa na watanzania unajifanya humjui!?? Yaani watanzania wamchukie Mbowe kwa lipi hasa linalohusiana na maisha yao??
Hujielewi! Ni nani tunaemlipa kulinda watu na mali zao!?
Nani anaechunguza kukamata na kushtaki!?
Utamlalamikia vipi mtu anaeuwa watu kwa maslai yake, badala ya kulalamika kwa nn polisi hawamkamati?
Waliompiga diwani mapanga au waliompiga lisu risasi kama wametumwa na mbowe ndo hawatakiwi kukamatwa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha! Ha! Ha! Ha! Kuna watu hata kama wanakupinga huwa unawaheshimu, sasa kwa Victoire kuandika "You nailed it" nashangaa maana siamini kama hata huo ugoro kausoma!!
Andiko lililojaa hisia bila ya hata chembe ya ushahidi kuthibitisha kama kweli ni uhalisia unalitumiaje kama rejea? Yaani kila hadithi ya kutungwa il mradi anayeshutumiwa ni Mbowe inakuwa ni kweli??Mkuu, Kwa Andiko liliopo hapo juu unaona huo ni upendo Kwa Mbowe?
Hajui kusomaHa! Ha! Ha! Ha! Kuna watu hata kama wanakupinga huwa unawaheshimu, sasa kwa Victoire kuandika "You nailed it" nashangaa maana siamini kama hata huo ugoro kausoma!!
Unawashangaa UWT na GoT kwa kumuacha Mbowe!!?Fanya wewe kazi hiyo. Mgawanyo wa majukumu. Kwa sisi wengine Mbowe ni mbaya kuliko Corona. Watu wameuawa, wamefilisika, ndoa zimevunjika na wengine hatuelewi hata kwanini tulipoteza muda kwenye siasa ili tu kuimarisha mfumo wa vyama vingi ili Taifa hili watu wabishane kwa hoja na kuwa na jukwaa mbadala la kusemea.
Sasa anapotokea mtu mmoja kulinda maslahi yake kuliko maslahi ya Chama chenye jasho na damu za wengi na kuliko maslahi ya Taifa hatuna budi kuunganisha nguvu kumdhibiti mtu huyo.
Actually nawashangaa sana usalama wa Taifa na serikali kumwachia Mbowe aiharibu CHADEMA ambayo ilishakuwa Taasis muhimu kwa Taifa hili. Ni bahati mbaya sana.
Pia nawashangaa Wanachadema wenyewe kukaa kimya, kususa na kumuacha afanye atakavyo kana kwamba CHADEMA ina jasho la Mbowe tu. Infact Mbowe hajawahi kupata hasara yoyote wala tabu kwenye CHADEMA. Slaa NDIO.
Sent using Jamii Forums mobile app