Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Mimi kinachonisikitisha Kwa sasa, ni kuona Watanzania wengi wakiongezeka Kwa Kasi kuwa na chuki na Mzee Mbowe,
Wewe anayechukiwa na watanzania unajifanya humjui!?? Yaani watanzania wamchukie Mbowe kwa lipi hasa linalohusiana na maisha yao??
 
Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.

Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.

Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.

Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.

Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!

Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.

Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.

Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.

Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.

Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili tukio kuna watanzania wako remand prison mpaka leo mbona Mbowe hajakamatwa ?

Acheni propaganda za kipumbavu nyie UVCCM.

Propaganda za namna hii hazina tija kwa wananchi na wala haziwezi kupunguza bei ya sukari kwa wananchi ambayo imepanda kwa sababu ya sera mbovu za ccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una taarifa nyingi hivi halafu unazikalia hutaki kupeleka kunakohusika? Wewe ni sawa na wale akina mama wabunge waliosema miaka mitano wamevumilia kuingiliwa kingono weeeeeee mpaka juzi wote kwa pamoja wakaanza kusikia maumivu ya kuingiliwa kingono.Mbona mnajitoa ufahamu hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambieni lisu amlete hapa dereva wake hapa uchunguzi uanze
Hujielewi! Ni nani tunaemlipa kulinda watu na mali zao!?
Nani anaechunguza kukamata na kushtaki!?

Utamlalamikia vipi mtu anaeuwa watu kwa maslai yake, badala ya kulalamika kwa nn polisi hawamkamati?

Waliompiga diwani mapanga au waliompiga lisu risasi kama wametumwa na mbowe ndo hawatakiwi kukamatwa!?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu heshima huanza kuporomoka kwa kushindwa kuwa objective katika mambo mengi ya msingi.

Sasa mtu hujifikirishi hata kufikiria kwa kina juu ya hoja na ukweli ama usahihi wake , sasa unamheshimuje mtu kama huyo. ?

Mtu unakuwa na chuki na mtu hata hujawahi Kutana naye hakufahamu na wala hamjawahi hata ongea nae.

Watu wengi kama hawa huwa wanamatatizo ya kisaikolojia saana.
Ha! Ha! Ha! Ha! Kuna watu hata kama wanakupinga huwa unawaheshimu, sasa kwa Victoire kuandika "You nailed it" nashangaa maana siamini kama hata huo ugoro kausoma!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, Kwa Andiko liliopo hapo juu unaona huo ni upendo Kwa Mbowe?
Andiko lililojaa hisia bila ya hata chembe ya ushahidi kuthibitisha kama kweli ni uhalisia unalitumiaje kama rejea? Yaani kila hadithi ya kutungwa il mradi anayeshutumiwa ni Mbowe inakuwa ni kweli??
 
Fanya wewe kazi hiyo. Mgawanyo wa majukumu. Kwa sisi wengine Mbowe ni mbaya kuliko Corona. Watu wameuawa, wamefilisika, ndoa zimevunjika na wengine hatuelewi hata kwanini tulipoteza muda kwenye siasa ili tu kuimarisha mfumo wa vyama vingi ili Taifa hili watu wabishane kwa hoja na kuwa na jukwaa mbadala la kusemea.

Sasa anapotokea mtu mmoja kulinda maslahi yake kuliko maslahi ya Chama chenye jasho na damu za wengi na kuliko maslahi ya Taifa hatuna budi kuunganisha nguvu kumdhibiti mtu huyo.

Actually nawashangaa sana usalama wa Taifa na serikali kumwachia Mbowe aiharibu CHADEMA ambayo ilishakuwa Taasis muhimu kwa Taifa hili. Ni bahati mbaya sana.

Pia nawashangaa Wanachadema wenyewe kukaa kimya, kususa na kumuacha afanye atakavyo kana kwamba CHADEMA ina jasho la Mbowe tu. Infact Mbowe hajawahi kupata hasara yoyote wala tabu kwenye CHADEMA. Slaa NDIO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unawashangaa UWT na GoT kwa kumuacha Mbowe!!?
Haya wamekusikia,wanakuja kwako kutaka ushahidi na vielelezo,usije kulalamika na kulialia tu kijana.
 
Back
Top Bottom