Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Unaendelea na upuuzi wako kama kawaida yako, ukiambiwa upeleke ushahidi wa tuhuma zako panapostahili utaweza? au unadhani ushahidi ni huo umbea ulioandika hapo juu?

Tafuta kazi ya maana ufanye, wacha kuhangaikia maisha ya wengine, mental slavery ni utumwa mbaya zaidi ya wote hapa duniani, so emanticipate yourself myfriend.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna Jambo la kujifunza, kipindi hiki nili ji lock down, nikapata muda mwingi wa kuangalia vipindi kwenye tv, na channel mbili zilinivutia Sana moja Ina itwa CBS na nyingine ni ID Chanel no 170 na 171 dstv, zinahusika na kufanya criminal investigation,
Detectives wanawataka watu wenye fununu zozote waweze kutoa taarifa ili wazifanyie uchunguzi kwa case husika na kila taarifa wanayopata wanaifanyia kazi,na jukumu Lao kuwa clear wote ambao hawahusiki na kubaki na wahusika.

Kwa taarifa hiyo na kama hiyo case ya huyo diwani ilikua haijakua solved inaweza kuwasaidia wapelelezi kuanzia hapo uchunguzi. Kumbuka huyo alieuawa ni mtu mwenye ndugu jamaa na marafiki,taarifa yeyote itayopelekea kukamatwa wahusika ni vyema ikafanyiwa kazi.sasa ni jukumu la wapelelezi kuchunguza then wakikuta Hana hatia hawatashughulika nae
 
Naona Benson amekichafua, hawa vijana wa makao makuu wanajua mengi mengi sana hata kama mengine wata exaggerate lakini ni bora kutojibizana nao kama ambavyo kimkakati mnapanga kuwajibu. Wanawachokoza kwa mitego itayowaingiza mkenge na wana vitu vingi vya kuwa frustrate.

Uchaguzi ujao msishangae kampeni zikaongozwa na hawa hasa mitandaoni na watawabomoa kwelikweli. Hii mitego ndio muda muafaka kwa Chadema kuonesha ukomavu sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nasubiria uandike unyanyasaji wa kingono unaofanywa na dj zero pale ufipa
 
Ujinga wao ni kwamba kila wanapoambiwa ije FBI kuchunguza ishu ya Ben sanane hawataki ya lisu hawataki Sasa inamaana serikali inamkingia kifua mbowe? Inamaana serikali ya CCM inàmapenzi makubwa na mbowe mbona inamlinda Kama ni kweli ruhusuni FBI watue hapa ili mbowe aumbuke.
FBI kwenye nchi za dunia ya tatu hawajawahi kuchunguza kwa ufanisi kwa kuwa mifumo mingi ni manual wakati kwao most of them are computerized. Hivyo usitegeme ufanisi sana kwa FBI wakija hapa Afrika.
 
Mbowe kawakamata sehemu nyeti dadadeki... na bado!! Siasa ni akili si maguvu!!
 
Kama ni kweli au uongo umeleta habari yako katka wrong timing sana. Si Kigogo alitoa tahadhari recent hapa kuwa kuna taarifa hii habari inaandaliwa kumchafua Mbowe kuhusu huyu Diwani? Mngesubiri kidogo basi maana hata kama ni kweli watu watajua ni maujibga ya kuchafuana tu
 
FBI kwenye nchi za dunia ya tatu hawajawahi kuchunguza kwa ufanisi kwa kuwa mifumo mingi ni manual wakati kwao most of them are computerized. Hivyo usitegeme ufanisi sana kwa FBI wakija hapa Afrika.
Kwahiyo mtatuuwa na polisi ya ndani imekumbatiwa na wanasiasa polisi ya nje iko computerized suluhisho ninini kwa mazingira ya Lissu
 
Kama ni kweli au uongo umeleta habari yako katka wrong timing sana. Si Kigogo alitoa tahadhari recent hapa kuwa kuna taarifa hii habari inaandaliwa kumchafua Mbowe kuhusu huyu Diwani? Mngesubiri kidogo basi maana hata kama ni kweli watu watajua ni maujibga ya kuchafuana tu
Kigogo ni mkurugenzi Makao makuu ya CHADEMA kama sio sheria za JF ningekutajia jina lake hapa. Ni I'd ya miaka mingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.

Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.

Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Magazeti yaliandika habari hii.

Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwa sababu za kimaslahi.

Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!

Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.

Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.

Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.

Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.

Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha Propaganda , nyumba aliyokuwa anaishi Ben iko jirani na nyumba ya dada yangu na mara nyingi jioni ikitokea nimepita alikuwa anakuja kunywa bia kwenye grocery ya jirani ....ni kijana alikuwa na maono sana ....majirani zake wanajua ukweli na sio huu
 
Back
Top Bottom