Dizasta Vina hajamfikia hata songa, acha apambane na watoto wenzake

Dizasta Vina hajamfikia hata songa, acha apambane na watoto wenzake

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Baada ya kuachia tribulation ngoma ya kumdiss rapcha naona ata ngoma zake zimeanza kupepea hewani hata wasomjua dizasta wamemjua Sasa.

Hila jamaa flow yake haibadiliki ana usanii ule wa kizamani wa kuimba kwa kusimulia mkasa tukio Fulani. Aige mifano Kwa songa, Nash mc Nikki mbishi max Cortez.

Skiza ngoma ya songa Udom
 
Baada ya kuachia tribulation ngoma ya kumdiss rapcha naona ata ngoma zake zimeanza kupepea hewani hata wasomjua dizasta wamemjua Sasa.

Hila jamaa flow yake haibadiliki ana usanii ule wa kizamani wa kuimba Kwa kusimulia mkasa tukio Fulani. Aige mifano Kwa songa, Nash mc Nikki mbishi max Cortez.

Skiza ngoma ya songa Udom
BADO
 
Unazungumzia Dizasta yupi?? Acha iy0 bangi yule jamaa ni mnoma afu haimbi...sikiza ngoma za kina marioo broo
 
Baada ya kuachia tribulation ngoma ya kumdiss rapcha naona ata ngoma zake zimeanza kupepea hewani hata wasomjua dizasta wamemjua Sasa.

Hila jamaa flow yake haibadiliki ana usanii ule wa kizamani wa kuimba kwa kusimulia mkasa tukio Fulani. Aige mifano Kwa songa, Nash mc Nikki mbishi max Cortez.

Skiza ngoma ya songa Udom
Uwezo wako ni mdogo sana kuweza kusikiliza ngoma za dizasta na ukaelewa.unaweza kuendelea kusikiliza wasanii wengine ambao mnafanana upeo na unaweza kuwaelewa.mbona wapo wengi tu.

Achana na dizasta mzee,
 
Baada ya kuachia tribulation ngoma ya kumdiss rapcha naona ata ngoma zake zimeanza kupepea hewani hata wasomjua dizasta wamemjua Sasa.

Hila jamaa flow yake haibadiliki ana usanii ule wa kizamani wa kuimba kwa kusimulia mkasa tukio Fulani. Aige mifano Kwa songa, Nash mc Nikki mbishi max Cortez.

Skiza ngoma ya songa Udom
Sikushangai hata kidogo, watu kama nyie vina aliwaambia mapema kabla kuwa " mmeshiba sana ujinga " NAMI nongoze umevimbewa ndio maana umeanza tapika.
 
Back
Top Bottom