Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Inafaa kunena, inafaa kunena labda ni muhimu sijui, labda kusimulia si karama kama wanavyo sema
Ikiwa msimuliaji huingia hatarini, labda kweli baraka ni laana njema
Wasikilizaji naskia wana ndoto na wenyewe, si uongo hadithi nzuri ndio kilele kwa wasikilizaji ila ndoto ya msimuliaji
Ndoto ya msimuliaji ni kulindwa milele, kwanini azibwe mdomo wakati ubongo unapiga kelele?. Si lazima msimuliaji apazwe la hasha atandikiwe majani au aandikwe kama mwanasiasa
Lakini lengo lake awe huru msimuliaji atambe alindwe ili waovu waonyeshwe mashujaa watangazwe
Ona kuna wasimuliaji hukwepa pande tupu, Yaani baada ya mitaji husimulia upande wa wenye nguvu
Wapo wa binafsi wanaotangaza jinsi asili ilivyo wahusudu. Husimulia walivyo shinda vita wakigombea asali na wadudu
Swali ni je nani atasimulia hadithi ya wadudu?, nani atasimulia kua si mara zote mchukua asali alimsulubu mdudu?
Nani atasimulia hadithi ya shetani baada ya kusikia ya
Inafaa kunena, inafaa kunena labda ni muhimu sijui labda kusimulia si karama kama wanavyo sema
Ikiwa msimuliaji ameingia hatarini, labda kweli baraka ni laana njema
Wasikilizaji naskia wana ndoto na wenyewe si uongo hadithi nzuri ndio kilele kwa wasikilizaji ila ndoto ya msimuliaji
Ndoto ya msimuliaji ni kulindwa milele, kwanini azibwe mdomo wakati ubongo unapiga kelele?. Si lazima msimuliaji apazwe la hasha atandikiwe majani au aandikwe kama mwanasiasa
Lakini lengo lake awe huru msimuliaji atambe alindwe ili waovu waonyeshwe mashujaa watangazwe
Ona kuna wasimuliaji hukwepa pande tupu, Yaani baada ya mitaji husimulia upande wa wenye nguvu
Wapo wa binafsi wanaotangaza jinsi asili ilivyo wahusudu. Husimulia walivyo shinda vita wakigombea asali na wadudu
Swali ni je nani atasimulia hadithi ya wadudu?, nani atasimulia si mara zote mchukua asali alimsulubu mdudu?
Nani atasimulia hadithi ya shetani baada ya kusikia upande wa mungu?
Waungwana kumbukeni ya muhimu na ziada, Kumbukeni ya uchumi jamii na siasa.
Lindeni ghala la chakula na maji lakini msisahau kumlinda msimuliaji ni afya
Japokua msimuliaji si alama ya taifa, lakini fikiria mtu ambaye yuko tayari kulipa gharama ya maisha
Msimuliaji hukukumbusha ulilotoka ujue unapoenda, na hiyo ndio faida.
Labda ukumbuke hamdimu na majoka, au simulizi ya mizimu ya mloka
Au tarihi ambazo ni historia za kuziheshimu, maana asiyejua historia huweza kurudia makosa
Msimuliaji hachagui upande maana hapendi kupotoka, hafungamani na misalaba ama alama za mwezi na nyota
Alama za wasimuliaji walio idondosha heri, walio okota sifa wakati wakidondosha kweli
Enyi wakaki, kijani na manjano, mmeona nyekundu ile pale haijaja pale leo.
Ipo tanfu kale, msiruhusu iwaguse si kwakua hamna hadhi la hasha, ila ile rangi anaifahamu msimuliaji
Ile rangi ni damu iliyomtoka au kumrukia na mchanganyiko wa damu zote za pande za dunia.
Anajua leo anaijua jana hajaisoma au kuisikia, aliipata wakati akitafuta vya kusimulia
Na ndio hivi anavyotaka kukusimulia leo.......nyakati za kati kati kwenye eneo la ukanda wa kidachi, zilizaliwa lugha tatu lugha ghafi, na kati yao ilikuwepo lugha inayoitwa lugha ya watu.
Kwenye ukanda huu msimuliaji hakuitwa narrator au story teller kwa kiingereza...
Hakuitwa elzeller japokua ukanda huu ulikua karibu sana na ujerumani
Hakuitwa rawi kwakua ukanda haukuwa wa uarabu, msimuliaji aliitwa the vertteller
Kama christo
upande wa mungu?
Waungwana kumbukeni ya muhimu na ziada, Kumbukeni ya uchumi jamii na siasa.
Lindeni ghala la chakula na maji lakini msisahau kumlinda msimuliaji ni afya
Japokua msimuliaji si alama ya taifa, lakini fikiria mtu ambaye yuko tayari kulipa gharama ya maisha
Msimuliaji hukukumbusha ulilotoka ujue unapoenda, na hiyo ndio faida.
Labda ukumbuke hamdimu na majoka, au simulizi ya mizimu ya mloka
Au tarihi ambazo ni historia za kuziheshimu, maana asiyejua historia huweza kurudia makosa
Msimuliaji hachagui upande maana hapendi kupotoka, hafungamani na misalaba ama alama za mwezi na nyota
Alama za wasimuliaji walio idondosha heri, walio okota sifa wakati wakidondosha kweli
Enyi wakaki, kijani na manjano, mmeona nyekundu ile pale haijaja pale leo.
Ipo tanfu kale, msiruhusu iwaguse si kwakua hamna hadhi la hasha, ila ile rangi anaifahamu msimuliaji
Ile rangi ni damu iliyomtoka au kumrukia na mchanganyiko wa damu zote za pande za dunia.
Anajua leo anaijua jana hajaisoma au kuisikia, aliipata wakati akitafuta vya kusimulia
Na ndio hivi anavyotaka kukusimulia leo.......nyakati za kati kati kwenye eneo la ukanda wa kidachi, zilizaliwa lugha tatu lugha ghafi, na kati yao ilikuwepo lugha inayoitwa lugha ya watu.
Kwenye ukanda huu msimuliaji hakuitwa narrator au story teller kwa kiingereza...
Hakuitwa elzeller japokua ukanda huu ulikua karibu sana na ujerumani
Hakuitwa rawi kwakua ukanda haukuwa wa uarabu, msimuliaji aliitwa the vertteller
Ikiwa msimuliaji huingia hatarini, labda kweli baraka ni laana njema
Wasikilizaji naskia wana ndoto na wenyewe, si uongo hadithi nzuri ndio kilele kwa wasikilizaji ila ndoto ya msimuliaji
Ndoto ya msimuliaji ni kulindwa milele, kwanini azibwe mdomo wakati ubongo unapiga kelele?. Si lazima msimuliaji apazwe la hasha atandikiwe majani au aandikwe kama mwanasiasa
Lakini lengo lake awe huru msimuliaji atambe alindwe ili waovu waonyeshwe mashujaa watangazwe
Ona kuna wasimuliaji hukwepa pande tupu, Yaani baada ya mitaji husimulia upande wa wenye nguvu
Wapo wa binafsi wanaotangaza jinsi asili ilivyo wahusudu. Husimulia walivyo shinda vita wakigombea asali na wadudu
Swali ni je nani atasimulia hadithi ya wadudu?, nani atasimulia kua si mara zote mchukua asali alimsulubu mdudu?
Nani atasimulia hadithi ya shetani baada ya kusikia ya
Inafaa kunena, inafaa kunena labda ni muhimu sijui labda kusimulia si karama kama wanavyo sema
Ikiwa msimuliaji ameingia hatarini, labda kweli baraka ni laana njema
Wasikilizaji naskia wana ndoto na wenyewe si uongo hadithi nzuri ndio kilele kwa wasikilizaji ila ndoto ya msimuliaji
Ndoto ya msimuliaji ni kulindwa milele, kwanini azibwe mdomo wakati ubongo unapiga kelele?. Si lazima msimuliaji apazwe la hasha atandikiwe majani au aandikwe kama mwanasiasa
Lakini lengo lake awe huru msimuliaji atambe alindwe ili waovu waonyeshwe mashujaa watangazwe
Ona kuna wasimuliaji hukwepa pande tupu, Yaani baada ya mitaji husimulia upande wa wenye nguvu
Wapo wa binafsi wanaotangaza jinsi asili ilivyo wahusudu. Husimulia walivyo shinda vita wakigombea asali na wadudu
Swali ni je nani atasimulia hadithi ya wadudu?, nani atasimulia si mara zote mchukua asali alimsulubu mdudu?
Nani atasimulia hadithi ya shetani baada ya kusikia upande wa mungu?
Waungwana kumbukeni ya muhimu na ziada, Kumbukeni ya uchumi jamii na siasa.
Lindeni ghala la chakula na maji lakini msisahau kumlinda msimuliaji ni afya
Japokua msimuliaji si alama ya taifa, lakini fikiria mtu ambaye yuko tayari kulipa gharama ya maisha
Msimuliaji hukukumbusha ulilotoka ujue unapoenda, na hiyo ndio faida.
Labda ukumbuke hamdimu na majoka, au simulizi ya mizimu ya mloka
Au tarihi ambazo ni historia za kuziheshimu, maana asiyejua historia huweza kurudia makosa
Msimuliaji hachagui upande maana hapendi kupotoka, hafungamani na misalaba ama alama za mwezi na nyota
Alama za wasimuliaji walio idondosha heri, walio okota sifa wakati wakidondosha kweli
Enyi wakaki, kijani na manjano, mmeona nyekundu ile pale haijaja pale leo.
Ipo tanfu kale, msiruhusu iwaguse si kwakua hamna hadhi la hasha, ila ile rangi anaifahamu msimuliaji
Ile rangi ni damu iliyomtoka au kumrukia na mchanganyiko wa damu zote za pande za dunia.
Anajua leo anaijua jana hajaisoma au kuisikia, aliipata wakati akitafuta vya kusimulia
Na ndio hivi anavyotaka kukusimulia leo.......nyakati za kati kati kwenye eneo la ukanda wa kidachi, zilizaliwa lugha tatu lugha ghafi, na kati yao ilikuwepo lugha inayoitwa lugha ya watu.
Kwenye ukanda huu msimuliaji hakuitwa narrator au story teller kwa kiingereza...
Hakuitwa elzeller japokua ukanda huu ulikua karibu sana na ujerumani
Hakuitwa rawi kwakua ukanda haukuwa wa uarabu, msimuliaji aliitwa the vertteller
Kama christo
upande wa mungu?
Waungwana kumbukeni ya muhimu na ziada, Kumbukeni ya uchumi jamii na siasa.
Lindeni ghala la chakula na maji lakini msisahau kumlinda msimuliaji ni afya
Japokua msimuliaji si alama ya taifa, lakini fikiria mtu ambaye yuko tayari kulipa gharama ya maisha
Msimuliaji hukukumbusha ulilotoka ujue unapoenda, na hiyo ndio faida.
Labda ukumbuke hamdimu na majoka, au simulizi ya mizimu ya mloka
Au tarihi ambazo ni historia za kuziheshimu, maana asiyejua historia huweza kurudia makosa
Msimuliaji hachagui upande maana hapendi kupotoka, hafungamani na misalaba ama alama za mwezi na nyota
Alama za wasimuliaji walio idondosha heri, walio okota sifa wakati wakidondosha kweli
Enyi wakaki, kijani na manjano, mmeona nyekundu ile pale haijaja pale leo.
Ipo tanfu kale, msiruhusu iwaguse si kwakua hamna hadhi la hasha, ila ile rangi anaifahamu msimuliaji
Ile rangi ni damu iliyomtoka au kumrukia na mchanganyiko wa damu zote za pande za dunia.
Anajua leo anaijua jana hajaisoma au kuisikia, aliipata wakati akitafuta vya kusimulia
Na ndio hivi anavyotaka kukusimulia leo.......nyakati za kati kati kwenye eneo la ukanda wa kidachi, zilizaliwa lugha tatu lugha ghafi, na kati yao ilikuwepo lugha inayoitwa lugha ya watu.
Kwenye ukanda huu msimuliaji hakuitwa narrator au story teller kwa kiingereza...
Hakuitwa elzeller japokua ukanda huu ulikua karibu sana na ujerumani
Hakuitwa rawi kwakua ukanda haukuwa wa uarabu, msimuliaji aliitwa the vertteller