kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Waungwana huku kumedoda...
Nipo club hapa DJ anahujumu disko, anapiga nyimbo ambazo 'hazibambi'. Muda wote ananikodolea macho mie nipo kwenye dancing floor...huyu demu ninaecheza nae inasemekana ni demu wa DJ. Kweli naona DJ ananikodolea macho na kama anampa 'baby' ishara flan ivi. Mie sijali...nasakata Rhumba tu. Ila kinachonisikitisha jamaa anapiga nyimbo za hovyo sana.
Tayar saa 6 kasoro hii bado anapiga nyimbo za akina NTOMBI, KATITU, KANDA BONGOMANI na akina ALAN NKOUNKOU. Hii ni hujuma, hapigi 'ngoma' za kileo....mfano KIJUSO ya RayVan, MOYO SUKUMA DAMU SI VINGINE ya Ditto, HAINAGA USHEMEJI n.k.
Kwa kawaida hua saiz disko linakua limechanganya lakn leo naona 'booth' limedoda kias kwamba DJ anajisahau hadi wimbo unaisha na watu wanasubir "apress play" nyimbo nyingine utazan anapiga kwa "santuri"
Nataka kumreport kwa Meneja. Hii itakua sawa?
An ant on the move does more than a dozing ox.
Nipo club hapa DJ anahujumu disko, anapiga nyimbo ambazo 'hazibambi'. Muda wote ananikodolea macho mie nipo kwenye dancing floor...huyu demu ninaecheza nae inasemekana ni demu wa DJ. Kweli naona DJ ananikodolea macho na kama anampa 'baby' ishara flan ivi. Mie sijali...nasakata Rhumba tu. Ila kinachonisikitisha jamaa anapiga nyimbo za hovyo sana.
Tayar saa 6 kasoro hii bado anapiga nyimbo za akina NTOMBI, KATITU, KANDA BONGOMANI na akina ALAN NKOUNKOU. Hii ni hujuma, hapigi 'ngoma' za kileo....mfano KIJUSO ya RayVan, MOYO SUKUMA DAMU SI VINGINE ya Ditto, HAINAGA USHEMEJI n.k.
Kwa kawaida hua saiz disko linakua limechanganya lakn leo naona 'booth' limedoda kias kwamba DJ anajisahau hadi wimbo unaisha na watu wanasubir "apress play" nyimbo nyingine utazan anapiga kwa "santuri"
Nataka kumreport kwa Meneja. Hii itakua sawa?
An ant on the move does more than a dozing ox.