Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Hakika litakuwa ni Pengo kubwa mno ambalo Halitazibika Hapo Clouds FM kwani huyu dada yangu msela alikuwa ni mahiri mno na aliiinua sana Clouds FM.
Anahamia kati ya Uhai FM Radio ya tajiri Bakhresa au Radio mpya ambayo inatarajiwa kuanzishwa muda wowote na kijana Mjasiriamali na mchapakazi Millard Ayo.
Kila kheri dada yangu / yetu Dj Fety.
Naona Clouds sasa inaanza kumegeka taratibu kama vile UKAWA inavyoaanza kumegeka.
Ndugu kuna siku hata moja nilishawahi kukutusi, kukukashifu au hata kujibishana nawe humu jamvini? Ninaweza kukujibisha kwa lugha mbaya maana matusi nayafahamu pia ila kwasababu sio ustaarabu wangu, nakupuuza tu maana umejionyesha kuwa wewe ni mpuuzi.
Ndugu kuna siku hata moja nilishawahi kukutusi, kukukashifu au hata kujibishana nawe humu jamvini? Ninaweza kukujibisha kwa lugha mbaya maana matusi nayafahamu pia ila kwasababu sio ustaarabu wangu, nakupuuza tu maana umejionyesha kuwa wewe ni mpuuzi.
Bado millardayo tu mdogo mdogo mtanyooka tu cloudz
Tena kubwa sana linaitafuna cloudz fmkwani kuna tatizo
Tena kubwa sana linaitafuna cloudz fm
Hakuna pengo lisilozibika
Bado millardayo tu mdogo mdogo mtanyooka tu cloudz