Dj Fetty atangaza rasmi kuacha kazi ya Utangazaji

Dj Fetty atangaza rasmi kuacha kazi ya Utangazaji

Hakika litakuwa ni Pengo kubwa mno ambalo Halitazibika Hapo Clouds FM kwani huyu dada yangu msela alikuwa ni mahiri mno na aliiinua sana Clouds FM.

Anahamia kati ya Uhai FM Radio ya tajiri Bakhresa au Radio mpya ambayo inatarajiwa kuanzishwa muda wowote na kijana Mjasiriamali na mchapakazi Millard Ayo.

Kila kheri dada yangu / yetu Dj Fety.

Naona Clouds sasa inaanza kumegeka taratibu kama vile UKAWA inavyoaanza kumegeka.

Hapo kwenye ukawa inavyomeguka ndo umenifurahisha sana
 
Ndugu kuna siku hata moja nilishawahi kukutusi, kukukashifu au hata kujibishana nawe humu jamvini? Ninaweza kukujibisha kwa lugha mbaya maana matusi nayafahamu pia ila kwasababu sio ustaarabu wangu, nakupuuza tu maana umejionyesha kuwa wewe ni mpuuzi.

Mkuu achana na huyu binti kila mtu ana mtusi. hii inasadifu malezi mabovu aliyopatiwa na wazazi wake hivyo wa kulaumiwa ni wazazi siyo yeye.
 
Ndugu kuna siku hata moja nilishawahi kukutusi, kukukashifu au hata kujibishana nawe humu jamvini? Ninaweza kukujibisha kwa lugha mbaya maana matusi nayafahamu pia ila kwasababu sio ustaarabu wangu, nakupuuza tu maana umejionyesha kuwa wewe ni mpuuzi.

Ulijaa Ktk Frame KINYUMENYUME Na Nikakupa Dozi Yako Ambayo Sasa INAKUPWELEPWETA. Principle Yangu Ni Ile Ile Ya Rais Museveni Isemayo " I Pay You According To Your Price ". Ukija Kishambenga Nakupa Makavu Yako STAHILI Na YALIYOTUKUKA Na Ukija Kistaarabu Na Hasa Ukiwa Ni Mwana CCM Mwenzangu Utafurahi Na Roho Yako.
 
Hakuna pengo lisilozibika

Nani Kaziba Pengo La Nyerere Wetu Tanzania? Nani Kaziba Pengo La Kiungo Mchezeshaji Na Mpambanaji Patrick Mutesa Tabu Mafisango Ktk Klabu Yangu Ya Simba? Nani Kaziba Pengo La Steven Kanumba Ktk Tasnia Ya Uigizaji Tanzania? Nani Kaziba Pengo La Marijani Rajabu Ktk Tasnia Ya Muziki Nchini Tanzania? Nani Kaziba Pengo La Kiungo Maestro Wa Timu Ya Taifa Ya Cameroon Marc Vivie Foe? Nani Kaziba Pengo Kubwa Na Lililoachwa Wazi Na MAFISADI WAKUBWA WALIOKUWA CCM Akina Lowassa Na Sumaye? Nani Leo Kaziba Pengo La Aliyekuwa Mbabe Wa Vijana Enzi Hizo Mwanafunzi Wa Shule Ya Tambaza Omary Puzzo? Nani Kaziba Pengo La Yule Askari Polisi Aliyekuwa MCHAPAKAZI Hapa Jijini Dar es Salaam Mkama Sharp? Kwa Leo References Hizi Tu Chache Zinakutosha Mkuu.
 
Kwakuwa hii redio masihara meeengi na hawanaga ishu serious nmeskia kwenye gari wanazungumza nae wanamuaga hata sikuwaelewa kwa sababu hawajawahi kuwa serious..... ndo nmeelewa humu jf
 
Back
Top Bottom