MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
nilisikiliza nyimbo zao zilizojaa matusi ya mama.... nikawashusha thamani kabisaaa.....
Mkuu hawa vijana wakipata viji mafanikio eti wanaenda south africa ku relax! Hawa wakina diamond wakitoswa na akina Ruge ndani ya mwezi kafulia unajiuliza hizo pesa gani? Uganda now wasanii wananua magari ya Tsh 200,000,000! Bongo Bmw na nyumba ya kupanga Sinza anaenda S.A kurelax!! Mtandao wa wizi ni mpana na akina Ruge wanautumia kuwaliza! Mnajua Profesa J ameanza kujenga lini? Mnajua level ya msanii kama Profesa J nchi hii? Nashangaa wasanii wanaoshindwa kumwelewa Sugu! Wasanii ukitaka kumjua Ruge gombana nae uone habari yake! Kama una uzinduzi wa albamu hadi wadhamini wanakukimbia!! Kuna upuuzi mzito unalelewa na wasaníi wanaopata vifedha kidogo.kupitia njaa zenu wasanii mnagawanywa na wanyonyaji ili msijisimamie lakini tulidhani wanaharakati wa longtime kama kalapina asingedanganywa kirahisi!! Hebu muulize mtu kama Kalapina nini kimebadilika leo kwenye tasnia ya muziki hadi leo awe rafiki na adui zake wa muda mrefu wa mawingu? Mnatumika kipuuzi! mwana fa kupitia elimu yake sikutegemea kama angekosa kujiamini na kusimamia ukweli lakini ndio kabisaa ile shule aliyopiga anaitumia kupotosha umma! Unafiki huu!nawasikitikia sana lwp, afande sele, gangwe mob kwani jumamosi was the only day ... Wametumika na kutoswa kama bigjee
Nanukuu, "tulitumia njia ya kawaida ujumbe haukufika, tukaona tutumie lugha kali na ujumbe umewafikia haraka.." - SUGU
Hebu tujikumbushe hii,kweli nyerere aliona UMASIKINI ni adui wa taifa!!
so hiyo ndio ex choose aliyotoa kwa kutukana matusi ya mama ... well Mr. MP your pathetic!
Leo asubuhi nilisikiliza powerbreakfast ya Clouds, Gerald Hando alipanic kweli kweli, kwa jinsi alivyokuwa anafoka yani nadhani mpaka mimate ilimtoka!
Analaumu kwanini watu wameenda kusikiliza wahuni? Kama kuongea ukweli ni uhuni na unaonekana una chuki basi kazi ipo.
Analaumu kwanini viongozi wa CDM wameenda kusikiliza wahuni? Nadhani hajui hii ni nchi huru na kila mtu kwa nafasi yake anaweza kuunga mkono kile anachoona kina maslahi kwa wananchi.
Anasema watu waliingizwa bure ili wajae. Hahaha. Nina rafiki zangu walifika pale saa 6 usiku (Show iliisha saa 7 usiku) na walilipa kiingilio.
Mi nawashauri clouds wanyamaze tu, maana wanaonekana wanatapatapa.
KUFENI KIMYAKIMYA!
Hebu tujikumbushe hii,kweli nyerere aliona UMASIKINI ni adui wa taifa!!
Ujumbe kwa baba tunda:kwa maneno aliyoyaongea humu sijui kama Msindi akili yake ipo sawasawa,namaanisha kama alikubali wito kwenda kwa Mawingu kutumbuiza,maana alichokiongea na alichokifanya ni tofauti kabisa
kwa msemo mwingine Msindi ni mtu hatari sana msaliti ambae si wa kuchezewa hata kidogo
Jf hebu sikilizeni alichokiongea then mtanipa jibu
kama msindi aliungana na mawingu basi akapimwe akili
Ex choose = Excuse
wa eva .... he is pathetic that's the bottom line ...
Amuulize masoud kipanya alifukuzwa kazi kwa cku 4,sasa awe muangalifu na kina ruge yatamkuta na asaminiHivi fetty amekuwa msemaji wa wafu fm!!?
Mbona anajiabisha sana!
Angeacha issue ikaishia juu juu sasa yeye anaichochea au anamkataba wa kufanya kazi maisha hapo wafu fm......!?nukta
Vinega imebamba ile mbaya, na imeitikisa clouds and soon, tutasikia clouds imegeuka redio ya injili.