Dj Fetty Wishes To Get Married Soon!!!

All the best fetty..
Mungu akuongoze umpate umpendae.
 

we umetokea NKASI!!!!#curious#

Mie siipendi tu wanajifanya wajuaji kumne hamna lolote
 

DJ fetty katulia sana ukiwekeza utakua unakula mwenyewe Lakini mwambieni apunguze masuruali na usela
 
DJ fetty katulia sana ukiwekeza utakua unakula mwenyewe Lakini mwambieni apunguze masuruali na usela

Yeah....ana u-TomBoy...Ila ana haiba ya kike kuliko Wasela-dadaz wengine...
 

Ni vizuri ku tangaza nia..
 
Haaahaaaa......people who think are superior than others in terms of WEALTH or EDUCATION are totally inferior....Dear,you are not well.......what a pity!
GET WELL SOON!

Hahahahaaaa... Am loving this battle.
 
Kuna fiesta moja kalitwangana ngumi nyuma ya stage.......sasa nahisi kana ubabe fulani hivi...ukijumlisha na andasi za gomba...mabraza men lazima wakae rada.

Kuna sehemu inaitwa Garisa, ipo kenya...aende akae kwa miezi kadhaa.....nakuhakikishia ndoto yake itakuwa true in no time.

Afuate ushauri wangu......akifika Garisa b twelve aandae tu tenity za kutosha.
 

Haaahaaaaa....dyuuuuuuu..
 
ivi hujui kwamba XXL ndio show ya mchana inayosikilizwa zaidi hapa Tanzania?

ignorants like you always make me sick to my stomach!!when did you conduct a research?which research methodology did you apply,sample or population?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…