Dj Fetty Wishes To Get Married Soon!!!

Dj Fetty Wishes To Get Married Soon!!!

Dear Ones,
Nisaidien kitu kimoja.......Clouds Fm iliwafanya nini wanaJF?....
Mi ni msikilizaji wa RADIO kama wengine and i find their station very entertaining.....and i bet most of people do....Soooooo guys.....Nipeni STRONG REASON ya ku-play HATER kwa CLOUDS FM na presenters wake...

XoXo
Ntakasi Wa Nkasi!!!

we umetokea NKASI!!!!#curious#

Mie siipendi tu wanajifanya wajuaji kumne hamna lolote
 
Leo kwenye kipindi 'pendwa' cha mchana XXL(Clouds Fm) walikuwa wanazungumzia uwekaji wa malengo na ufanikishaji wake katika mwaka 2013 na umuhimu wake.....baada ya kuhoji watu mbalimbali ikiwemo wenyewe watangazaji ndipo mtangazaji huyu maarufu alipofunguka na kusema yeye alipanga kuolewa na kupata mtoto ndani ya huu mwaka lakini anaona kama lengo lake halijafanikiwa.....Hakusema kama ana mchumba au anatafuta but hili ndio lengo lake kubwa ambalo kwa sasa inabidi angojee mpaka 2014::::::
Namtakia kila la kheri Fetty The Best Na Inshaalah Mungu Atatimiza Lengo Lake!

DJ fetty katulia sana ukiwekeza utakua unakula mwenyewe Lakini mwambieni apunguze masuruali na usela
 
DJ fetty katulia sana ukiwekeza utakua unakula mwenyewe Lakini mwambieni apunguze masuruali na usela

Yeah....ana u-TomBoy...Ila ana haiba ya kike kuliko Wasela-dadaz wengine...
 
Leo kwenye kipindi 'pendwa' cha mchana XXL(Clouds Fm) walikuwa wanazungumzia uwekaji wa malengo na ufanikishaji wake katika mwaka 2013 na umuhimu wake.....baada ya kuhoji watu mbalimbali ikiwemo wenyewe watangazaji ndipo mtangazaji huyu maarufu alipofunguka na kusema yeye alipanga kuolewa na kupata mtoto ndani ya huu mwaka lakini anaona kama lengo lake halijafanikiwa.....Hakusema kama ana mchumba au anatafuta but hili ndio lengo lake kubwa ambalo kwa sasa inabidi angojee mpaka 2014::::::
Namtakia kila la kheri Fetty The Best Na Inshaalah Mungu Atatimiza Lengo Lake!

Ni vizuri ku tangaza nia..
 
Haaahaaaa......people who think are superior than others in terms of WEALTH or EDUCATION are totally inferior....Dear,you are not well.......what a pity!
GET WELL SOON!

Hahahahaaaa... Am loving this battle.
 
Kuna fiesta moja kalitwangana ngumi nyuma ya stage.......sasa nahisi kana ubabe fulani hivi...ukijumlisha na andasi za gomba...mabraza men lazima wakae rada.

Kuna sehemu inaitwa Garisa, ipo kenya...aende akae kwa miezi kadhaa.....nakuhakikishia ndoto yake itakuwa true in no time.

Afuate ushauri wangu......akifika Garisa b twelve aandae tu tenity za kutosha.
 
Kuna fiesta moja kalitwangana ngumi nyuma ya stage.......sasa nahisi kana ubabe fulani hivi...ukijumlisha na andasi za gomba...mabraza men lazima wakae rada.

Kuna sehemu inaitwa Garisa, ipo kenya...aende akae kwa miezi kadhaa.....nakuhakikishia ndoto yake itakuwa true in no time.

Afuate ushauri wangu......akifika Garisa b twelve aandae tu tenity za kutosha.

Haaahaaaaa....dyuuuuuuu..
 
ivi hujui kwamba XXL ndio show ya mchana inayosikilizwa zaidi hapa Tanzania?

ignorants like you always make me sick to my stomach!!when did you conduct a research?which research methodology did you apply,sample or population?
 
Back
Top Bottom