DJ Khaled amemfollow Diamond instagram!

DJ Khaled amemfollow Diamond instagram!

Kuna wakati naona kinachofanywa na awamu ya 5 ni sahihi,wajinga bado wengi sana
 
Ukitaka kujua maana ya kuwa followed na global figure muulizeni Davido aliyekuwa analilia kuwa followed na C7!

Kwa mtu kama Diamond au yeyote wa aina yake kuwa followed na mtu kama JD Khaled sio jambo dogo kisanaa!!!

Ina maana leo hii Diamond akiachia ngoma na ku-post Instagram, basi kuna uwezekano mkubwa DJ Khaled akafahamu kuna new release!!! Akipoteza dakika zake 2 na kusikiliza; sio jambo dogo hilo hata kidogo!!!

Endapo Drake asingepata fursa ya kusikiliza ngoma ya WizKid, huyu WizKid asingekuwa pale alipo leo hii kwa sababu hakuna cha ziada kilichoongezeka kwenye uimbaji wake zaidi ya kuwa tu ameongeza exposure!

Sasa Diamond nae amepata possible option ya kazi zake siku moja kusikilizwa na msanii mkubwa! Siku mkisikia DJ Khaled anataka collabo na Diamond msiseme sikusema!!!
 
Dj Khaled huyu huyu aliempigia simu Linex
Hahahahaha vijana wa kigoma mnakismat na huyu dj
 
Diamondplatnumz nyota yake inzidi kung'aa baada ya DJ KHALED kumfollow katika Account yake ya Instagram! Hii inamaanisha DJ khaled anamfahamu Diamond na anapenda kile ambacho anafanya

Kwa nchi za wenzetuu mtu au star akikufollow ni kitu kikubwaa sanaa tofauti na Hapa Bongo mtu anamfollow yeyote bila kujua anatafuta nn kwa huyo mtu! Katika watu elfu 3 duniani alio wafollow DJ khaled na Diamond naye yupo? Means hata akimtumia Ujumbe Insta Direct ataupata na kujibu! Sasa ni wakati wa Diamond kutumia Hii nafasii!View attachment 592801View attachment 592802
Nyie watu wa darisalama ...tiambieni huyo djhalidi ndiyo nani??? Au ni miongoni mwa watu wasiyo julikana???? Anamufolowu kuelekea wapi?? Na yeye anatumia nisani patoroo nyeupe kumufolowu diamondi?? Watanzania tumuliende diamondi wetu asije kupotezwa na hawa watu ,akiwemo dj halidi.
 
Money fall on you..
Banana fall on you..
Paparazzi follow you oh..

Usishangae Dj Khaleed akanifollow me.. yeeeeh
 
Ukitaka kujua maana ya kuwa followed na global figure muulizeni Davido aliyekuwa analilia kuwa followed na C7!

Kwa mtu kama Diamond au yeyote wa aina yake kuwa followed na mtu kama JD Khaled sio jambo dogo kisanaa!!!

Ina maana leo hii Diamond akiachia ngoma na ku-post Instagram, basi kuna uwezekano mkubwa DJ Khaled akafahamu kuna new release!!! Akipoteza dakika zake 2 na kusikiliza; sio jambo dogo hilo hata kidogo!!!

Endapo Drake asingepata fursa ya kusikiliza ngoma ya WizKid, huyu WizKid asingekuwa pale alipo leo hii kwa sababu hakuna cha ziada kilichoongezeka kwenye uimbaji wake zaidi ya kuwa tu ameongeza exposure!

Sasa Diamond nae amepata possible option ya kazi zake siku moja kusikilizwa na msanii mkubwa! Siku mkisikia DJ Khaled anataka collabo na Diamond msiseme sikusema!!!
Kumbe Dj Khaleed ni msanii mkubwa,nilidhani na yeye ni kama Dj Choka,anawakusanya wasanii weeengi waimbe alafu wimbo unakua wake[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Diamondplatnumz nyota yake inzidi kung'aa baada ya DJ KHALED kumfollow katika Account yake ya Instagram! Hii inamaanisha DJ khaled anamfahamu Diamond na anapenda kile ambacho anafanya

Kwa nchi za wenzetuu mtu au star akikufollow ni kitu kikubwaa sanaa tofauti na Hapa Bongo mtu anamfollow yeyote bila kujua anatafuta nn kwa huyo mtu! Katika watu elfu 3 duniani alio wafollow DJ khaled na Diamond naye yupo? Means hata akimtumia Ujumbe Insta Direct ataupata na kujibu! Sasa ni wakati wa Diamond kutumia Hii nafasii!View attachment 592801View attachment 592802
Habari njema hii.

Wafuasi wa mzee wa Yooooo (Mr Kipusa)naona wamechukia sana suala hili wanatamani nafasi hii angepata kibakuli wao.
 
Ukitaka kujua maana ya kuwa followed na global figure muulizeni Davido aliyekuwa analilia kuwa followed na C7!

Kwa mtu kama Diamond au yeyote wa aina yake kuwa followed na mtu kama JD Khaled sio jambo dogo kisanaa!!!

Ina maana leo hii Diamond akiachia ngoma na ku-post Instagram, basi kuna uwezekano mkubwa DJ Khaled akafahamu kuna new release!!! Akipoteza dakika zake 2 na kusikiliza; sio jambo dogo hilo hata kidogo!!!

Endapo Drake asingepata fursa ya kusikiliza ngoma ya WizKid, huyu WizKid asingekuwa pale alipo leo hii kwa sababu hakuna cha ziada kilichoongezeka kwenye uimbaji wake zaidi ya kuwa tu ameongeza exposure!

Sasa Diamond nae amepata possible option ya kazi zake siku moja kusikilizwa na msanii mkubwa! Siku mkisikia DJ Khaled anataka collabo na Diamond msiseme sikusema!!!
Hivi DJ Khaleed na Neyo yupi ni msanii mkubwa?
 
Hivi DJ Khaleed na Neyo yupi ni msanii mkubwa?
Nadhani unataka kuuliza mbona huyo Diamond keshafanya collabo na Diamond na hakuna jipya au hakufikia hata 10% ya pale alipofika WizKid!

Kama hoja yako ndo hiyo basi jibu ni hili!

Kuna tofauti kubwa mara 100 Million katia Diamond Platnumz Ft Neyo na Neyo Ft Diamond Platnumz! Umeelewa?!

Diamond Platnumz Ft Neyo itapigwa Tanzania na Africa lakini Neyo Ft Diamond Platnumz itapigwa America na kwingine itaenda kama zinavyoenda ngoma zingine!

Kama umenifuatilia vizuri post yangu, concern yangu sio Diamond kufanya kazi na DJ Khaled bali DJ Khaled kufanya kazi na Diamond! DJ Khaled akifanya kazi na Diamond kama anavyofanya kazi zingine ina maana hiyo itakuwa ni American product kinyume chake itakuwa ni Tanzanian product kama kazi itakuwa initiated na Diamond kama ilivyokuwa kwa Marry Me!
 
Kumbe Dj Khaleed ni msanii mkubwa,nilidhani na yeye ni kama Dj Choka,anawakusanya wasanii weeengi waimbe alafu wimbo unakua wake[emoji16][emoji16][emoji16]
Kama unadhani DJ Choka asiye na ubavu wa kuwakusanya hata akina Rayvann na Baraka De Prince ni sawa na DJ Khaled aliyeweza kukusanya wasanii mbalimali basi una kila sababu ya kutoona umuhimu wake!!!

Issue ni kufanya American Product. Sijui kwako msanii mkubwa Marekani ni nani; but let's assume Beyonce.

Leo hii Diamond akifanya kazi ambayo ni Diamond Platnumz ft Beyonce impact yake kwenye soko la kimataifa ni ndogo ukilinganisha na kazi ya DJ Khaled na Diamond! Kazi ya Diamond Platnumz ft Beyonce itakuwa ni ya Tanzania na Beyonce hatakuwa na sababu ya kui-push kazi hiyo ifanye vizuri US na duniani kote!

Zipo kazi kadhaa ambazo zaidi ya intro, DJ Khaled hajafanya kingine lakini zinatambulika kama kazi za DJ Khaled Ft so and so na hilo wala sio jambo geni kwenye tasnia ya muziki.

Sasa kazi ya DJ Khaled ft so and so ni American product hata kama DJ Khaled hata kukooa hajakooa kwenye ngoma husika. Na kazi hiyo ita-trend America na hata duniani kwa sababu kote huko ana fans wake na ni yeye ndie atakuwa responsible kui-push!
 
Back
Top Bottom