Dj Majizo, Muasisi wa muziki wa Mchiriku, Mnanda, Singeli redioni!

Naona kama kawaida wachawi hawakosekani kwenye hii mada, nawaita wenye wivu wa transgender (wivu mbaya sana huu).
Kibaya zaidi ni wanawake.
Kamsalimie rais wetu.
 
nakukubali sana kaka majizzo kwa ubunifu wako na uchakarikaji...kw amuda mchache niliobahatika kufahamiana na wewe umeniinspire sana tatizo lako ni moja tu ukishapata unachokitaka unampotezea kama humfahamu vile!!!
Ndio tabia ya milionea...hata ww ukitajirika utakuwa hivyo. so usimnyooshee kidole.
 

Asante douta, nipo hapa namsubiria Benny ameniahidi kunitafutia Complimentary ya Breakfast Double Tree weekend hii kwa Le Mutuz Akili Kubwa, the King of All Social Networks in Bongo toka juzi na weekend ndo inafika.

Naona kapotea sasa.
 
Asante douta, nipo hapa namsubiria Benny ameniahidi kunitafutia Complimentary ya Breakfast Double Tree weekend hii kwa Le Mutuz Akili Kubwa, the King of All Social Networks in Bongo toka juzi na weekend ndo inafika.

Naona kapotea sasa.
Daah mnaenjoy jamani, live na le akili kubwazz. Benny atakuja sasa hivi
 
Binafs ni mdau wa SINGELI,hasa ile mida ya GENGE
 
Nakataa hadi Mwisho,Majizo hawezi kumiliki E-FM labda yeye ni GALASA wamiliki wapo nyuma,Kwa majizo alivyo hata fedha ya kupanga tu pale K-NET house hawezi lipa.
 
Washkaji karibuniii
Karibuni maskaniii
Na wala msione kimyaa
Saidi darban hamumuoni
Said darban amefariki
Kwa ajali ya gariii
Ambayo imetokea
Buguruniii
Said darban kaacha majonzi
Hata Kwa mzazi mwenzie
Pili mama Ali anabaki analia
Oooooooh
Ndio wimbo huu ua nimechanganya?
 
Ndio huo huo
 
Mimi binafsi niliwahi kutokea kupenda sana nyimbo za mchiriku...nzuri na ni za busara...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…