TANZIA DJ Ommy afariki dunia

Dah! Mwana sana jamaa ulikua humkosi maisha club ile ya masaki enzi zile kwa wale wazee wa bunyero bunyero.. nadhali alikua pale kama manager... tangulia kamanda
Yes, ndio nimeona pia DJ JD ameelezea. Bunyero bunyero ndio nini mkuu?
 

Poleni ndugu,jamaa na marafiki.
 
Duh nilijua huyu DJ Ommy mdogo

apumzike kwa amani
 
Mwenyezi Mungu awafariji Ndugu, Jamaa na Marafiki wote walioguswa na msiba huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…