View attachment 392504 Huwa napenda sana kuangalia kipindi cha FNL pale EATV ..but huwa nakereka sana na makele anayopiga huyu dj wanamuita dj OMMY CRAZY.bqdala ya kuacha watu wasikikize wimbo ..yeye kutwa anapiga makelele...anakera sana....mm kwangu ni kero sijui kwa vijana wa kisasa wanaonaje...