Dj Ommy crezy makelele ya nini?

Ndiyo maana amejiita crazy anajijua kuwa wakati mwingine anakuwa maji kujaa,utaksosaje kelele
 
mbona mimi naona kawaida tu ndo matatizo watu wastaarabu kufatilia vipind hiv utaboreka tu ila sioni haja watu kuboreka na hii mizuka yakitofauti tusifanane kuna yule mwingine anajiita dj sama anapiga nyimbo mbaya mpaka unauliza huyu jamaa vp
 
Hiv ndo huyo DJ wa milad ayo wa clouds FM nao wanae DJ ommy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…