DJ Rankeem Ramadhan afariki dunia

DJ Rankeem Ramadhan afariki dunia

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
Dj maarufu Rankeem amefariki dunia hii leo katika hospital ya mwananyamala radio one.


Innalilah rajuun
ndugu yetu dj wetu maashuhuri ramkini ramadhani ametutoka mchana huu
alikuwa akikimbizwa hospital ya mwanyamala
bwana ametoa bwana ametwaa jina lake libarikiwe
amen

src
tbc
 
Pumzika kwa amani DJ Rankim


Innalilah rajuun
ndugu yetu dj wetu maashuhuri ramkini ramadhani ametutoka mchana huu
alikuwa akikimbizwa hospital ya mwanyamala
bwana ametoa bwana ametwaa jina lake libarikiwe
amen

src
tbc
 
Dah...
RIP Rankim
back in the days, huyu ndiye alikuwa DJ pekee mwenye 'taste' nzuri ya selection..
 
Innalilah rajuun
ndugu yetu dj wetu maashuhuri ramkini ramadhani ametutoka mchana huu
alikuwa akikimbizwa hospital ya mwanyamala
bwana ametoa bwana ametwaa jina lake libarikiwe
amen

src
tbc
 
RIP Rankeem alikuwa dj mzuri wa miziki ya bolingo,alinitangulia madalasa 2 pale mapambano pr sch
 
Back
Top Bottom