Nasikia utumbo ulitoboka. Mzizimkavu hii hutokana na nini?
simjui huyu jamaa anyway REST IN PEACE MAALIM
Enzi hizo tulikuwa tunakwenda disko kwasababu ya DJ na sio kwenda tu kucheza bila kujua nani anapiga.Huyu jamaa alikuwa anapiga Rhumba na miondoko mingine ya kiafrika hatari tupu!!!
So sad,msiba upo wapi?NAkumbuka tuliishi Jirani,mwenge national housing karibu na mapambano p.school.Nilisoma na marehemu dada yake Dr. Irene Malecela pale Mzizima sec.school.Namkumbuka akiwa anasoma mapambano alipenda sana kuigiza utangazaji wa marehemu uncle J enzi za RTD kipindi cha Phillips ndio yenyewe na National.RIP Rama Nyamka.
Sure..mimi mpaka sasa hivi nikienda sehemu naona wazimu mtupu.. fikiria enzi za poolside.sijui kama itawahi kutokea tulifaidi sana..rest in peace dj rankeem