DJ Rankeem Ramadhan afariki dunia

JAYJAY Ma DJ wa sasa wengi hawana utaalamu wa kupandisha ngoma the way wakina Rankeem walikuwa wakifanya,kama alivyosema MTAZAMO enzi hizo unaenda Discotheque sio kwasababbu ya kucheza muziki tu Kinachokupeleka pale ni mahanjam ya DJ ndio yanakufanya uufuate mziki ulipo,:rip: Rankeem.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…